Tanzania ndo Nchi pekee lazima uchart na babe wako daily ili Usiachwe

Neno sahihi ni chat sio chart

Ndio nyinyi huwa mnasema your beautiful badala ya you re beautiful
Ok stupid, kuna watu wako well educated but wameelewa ila wewe mavi ndo unaleta ujuaji,,, https://jamii.app/JFUserGuide u en ur mother https://jamii.app/JFUserGuide mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ndo Nchi pekee lazima uchart na babe wako daily ili Usiachwe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hali mimi imenivunjia mahusiano sana.

Kuna watu hatuna shobo sana na mapenzi ukishaimbisha ukikubaliwa unatulia tuli kama hakijatokea kitu huku ukijitahidi kupnyesha kwa vitendo tu kuwa unapenda.

Sasa kuna wadada ukishakuwa nae kwenye mahusiano hata muda wa kufikiria mambo mengine unakosa kila muda yuko na wewe akijiulizisha vitu vingine vya kijinga kabisa.

Ukikaa masaa matano hujamtafuta hiyo kesi kubwa sana kadri siku zinavyokwenda malalamiko kibao.

Sasa kusolve mikesi ya kipuuzi kila siku ya nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...nitafanya ayo yote kama sijamgegeda ata magoti nitapiga Ila akishanipa tuu...nitamtext au kupiga sim nitakapokuwa na shida nae unless awe ananitumia yy..
 
Kwanza mimi naona kuwa ni utoto tu.
Kuna muda mtu unahitaji uhuru na utulivu wa kufikiria mambo ya maisha sasa ikiwa kila saa ni simu na mimeseji utayafanya saa ngapi?
Ukidate na wanafunzi au majobles ndo mambo kama haya yanatokea kwa wingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…