navajo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 582
- 901
Kosa kubwa alilofanya Hayati kutowaaga Vijana wake.. wengi wanadhani bado yupo..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pigia mstariUmejitutumua sana mkuu.
Kuna mzee alitabiri jambo ila naogopa kuliandika hapa.
Wewe endelea kula mtori nyama utakuta chiniSamia ni mtoto wa Chifu nani?
Huyo kijana mwenyewe alikuwa mwizi tu,angeendelea kuwepo,angakuwa anafanya kama Hawa wa sasa hv.Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.
Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.
Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.
Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.
Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.
Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.
Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.
Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.
Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.
Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayatutisha sana sisi tunao iona kwa jicho la kesho.
Nitaendelea...
haka kavideo mpaka kanakatisha tamaa ya kuishi Tanzania.Amri jeshi mkuu pamoja na viongozi wenzake wakitangaza kupitia TV Ya Taifa vita ya kuitafuna cake ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2083683
Alikuwa analeta UJANJA wa CHATO! CHAMA CHA MAPINDUZI ni CHAMA 🙏🏽Jiwe!!
HangayaSamia ni mtoto wa Chifu nani?
Mtoto wa mwinyi!!Hangaya
Kila siku huwa mnasema hivyo hivyo, lakini hamna chochote.Muda ndo kila kitu.
....Unaogopa kutimia kwa huo utabiri?Kuna mzee alitabiri jambo ila naogopa kuliandika hapa.
Vita hiyo itathibistisha maandishi ya mwana falsafa mmoja kutoka huko Africa Magharibi Chinua Achebe kwenye kitabu chake cha "THings Fall Apart"Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.
Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.
Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.
Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.
Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.
Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.
Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.
Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.
Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.
Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayatutisha sana sisi tunao iona kwa jicho la kesho.
Nitaendelea...
Ng'wizinkulu Jilala wa Usukumani! Na ndiyo maana tumempa jina la Chifu Hangaya.Samia ni mtoto wa Chifu nani?
God forbideWhat we need is love to guide and protect our son.... only riziwan kikwete on 2025
Hukusema haya kipindi cha mwendazake. Sasa hivi mrija umekata umeanza kulialia.Vita hiyo itathibistisha maandishi ya mwana falsafa mmoja kutoka huko Africa Magharibi Chinua Achebe kwenye kitabu chake cha "THings Fall Apart"
Ndipo chimbo la uhuru wa kiuchumi na kimaarifa utakapoanzia kuibuka na hatimaye kufika kilele cha ukombozi kamili
Mfumo mzima na mizizi yake utang'olewa na mtu asiye sehemu yao kwa nguvu ya vijana na wananchi waliochoka uonevu, manyanyaso, kupuuzwa, dhuluma, na mateso kwa kudai haki yao ya asili na sheria.