Tanzania new war for national cake

Tanzania new war for national cake

Huyo kijan
Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.

Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.

Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.

Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.

Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.

Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.

Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.

Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.

Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.

Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayatutisha sana sisi tunao iona kwa jicho la kesho.

Nitaendelea...
Huyo kijana mwenyewe alikuwa mwizi tu,angeendelea kuwepo,angakuwa anafanya kama Hawa wa sasa hv.
 
Hii iko hivyo duniani kote. Nenda kwa familia ya Mseveni Uganda, Kenyatta - Kenya, Kagame - Rwanda, Malkia Elizabeth - Uingereza mpaka kwa Puttin na wenzie huko Urusi.

Suala la msingi ni kuwa hiyo cake waipate kwa njia halali, maana cake ipo kwa ajili ya raia wote wa Tanzania na wao wakiwemo.
 
Kijana mwenye roho mbaya na uchu wa madaraka vimemtokea puani sasa ile gang aliyoiunda imebaki gizani isijue cha kufanya hasa baada ya kuona miongoni mwao wameanza kula mvua za kutosha.
 
Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.

Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.

Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.

Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.

Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.

Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.

Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.

Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.

Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.

Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayatutisha sana sisi tunao iona kwa jicho la kesho.

Nitaendelea...
Vita hiyo itathibistisha maandishi ya mwana falsafa mmoja kutoka huko Africa Magharibi Chinua Achebe kwenye kitabu chake cha "THings Fall Apart"

Ndipo chimbo la uhuru wa kiuchumi na kimaarifa utakapoanzia kuibuka na hatimaye kufika kilele cha ukombozi kamili

Mfumo mzima na mizizi yake utang'olewa na mtu asiye sehemu yao kwa nguvu ya vijana na wananchi waliochoka uonevu, manyanyaso, kupuuzwa, dhuluma, na mateso kwa kudai haki yao ya asili na sheria.
 
Bora mashetani wa zamani, Wapya wa rogo mbaya Sana afu sio Watanzania, Ni Bahima Empire wanaojificha kwenye Usukuma na Uhaya.
 
Vita hiyo itathibistisha maandishi ya mwana falsafa mmoja kutoka huko Africa Magharibi Chinua Achebe kwenye kitabu chake cha "THings Fall Apart"

Ndipo chimbo la uhuru wa kiuchumi na kimaarifa utakapoanzia kuibuka na hatimaye kufika kilele cha ukombozi kamili

Mfumo mzima na mizizi yake utang'olewa na mtu asiye sehemu yao kwa nguvu ya vijana na wananchi waliochoka uonevu, manyanyaso, kupuuzwa, dhuluma, na mateso kwa kudai haki yao ya asili na sheria.
Hukusema haya kipindi cha mwendazake. Sasa hivi mrija umekata umeanza kulialia.
 
Back
Top Bottom