Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu katika top 10 ya safest countries in Africa Tanzania haimo.Sifa zote ni Kwa CCM. CCM ni chama imara. Tanzania ni Urusi ya Africa.
Karibuni k vant kutoka leo mpaka 31 December.
Lowasa hakuwa rais ndio maana alifeli. Nchi hii ukiwa rais una madaraka makubwa sana aisee!Mama si chochote CCM ni taasisi. Ukileta foko foko utajua hujui. CCM ni taasisi iliyokamilika kumbuka nyoko nyoko za Lowasa na safari yake ya matumaini ndo utakua CCM ni nani
Taasisi zinazopanga ranking zote hazitaja TZ afrika kuwa hata kwenye top ten. Hata hiyo nairobi iliyo Kenya haimo. So, tusijipe moyo sanaAccording to whom? Nenda Nairobi kafanye ujinga wakutoe koromeo....tz you can be safe 97 percent
Kweli kabisa...Sifa zote ni Kwa CCM. CCM ni chama imara. Tanzania ni Urusi ya Africa.
Karibuni k vant kutoka leo mpaka 31 December.
Hakuna kitu kama hicho. Mwenyekiti wa ccm ambaye ndiye rais anachomoe mtu yeyote ambaye hamtaki chamani na kuweka anayemtaka. Yani anajitengenezea backup yakeRais akiwa na backup ya CCM. CCM ikiamua mama yarudi 2025. CCM sio rais ni taasisi iliyojichimbia chini yaani ni deep state
Wachana na mabeberu wapuuzi hao WB, IFM, UN (mbwa Koko)... We nenda mtaani tembea saa tisa usiku utafika kwako salama.Taasisi zinazopanga ranking zote hazitaja TZ afrika kuwa hata kwenye top ten. Hata hiyo nairobi iliyo Kenya haimo. So, tusijipe moyo sana
Sasa nikuulize mama anautaka urais 2025? Nijibu halafu nikwambie ukubwa wa CCM wala sio ukubwa wa RaisHakuna kitu kama hicho. Mwenyekiti wa ccm ambaye ndiye rais anachomoe mtu yeyote ambaye hamtaki chamani na kuweka anayemtaka. Yani anajitengenezea backup yake
Umeenda nchi kama mauritius, ghana, namibia, botswana, gambia ukatembea saa tisa usiku ukakosa kufika kwako? Hizo ni kati ya nchi zilizo top ten.Wachana na mabeberu wapuuzi hao WB, IFM, UN (mbwa Koko)... We nenda mtaani tembea saa tisa usiku utafika kwako salama.
Nina mwaka wa saba hapa dar sijawahi sikia sauti ya bunduki( risasi) afu eti kwenye ranking hatupo upuuzi tu
Tz is one of them. Kweli huko sijawahi kufika watakua vizuri kama sisi. Nimewahi fika Nairobi na kampla maisha ni mshike mshike Kila dakika kinanukaUmeenda nchi kama mauritius, ghana, namibia, botswana, gambia ukatembea saa tisa usiku ukakosa kufika kwako? Hizo ni kati ya nchi zilizo top ten.
Anautaka na wote wanaoutaka atawakata mikia. Ukitaka kujua ukubwa wa rais ni pale ambapo mwenyekiti alimchukua bashiru ambaye kila mtu alijua alikuwa cuf akamfanya kuwa kiongozi ndani ya ccm na akamweka mwenezi ambaye wengi walimwona wakuja na watu wote wakaufyata mkia.Sasa nikuulize mama anautaka urais 2025? Nijibu halafu nikwambie ukubwa wa CCM wala sio ukubwa wa Rais
Basi kwa sababu hujawahi kufika ndio maana hujui kipi kinaendelea. Mimi nimeishi kampala na masaka kwa miaka mingi tu. Maisha fresh tu vijana wana party like hakuna kesho usiku kama kawa.Tz is one of them. Kweli huko sijawahi kufika watakua vizuri kama sisi. Nimewahi fika Nairobi na kampla maisha ni mshike mshike Kila dakika kinanuka
Ukweli kabisa. Watakaobisha ni ambao hawajawahi kucross border.According to whom? Nenda Nairobi kafanye ujinga wakutoe koromeo....tz you can be safe 97 percent
Hilo miaka linajulikana japo kuna vibaraka wanapita huku na huko kutangaza mabaya!Sifa zote ni Kwa CCM. CCM ni chama imara. Tanzania ni Urusi ya Africa.
Karibuni k vant kutoka leo mpaka 31 December.