Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
The Africa Competitive Report 2013 (Pg 194) inaonesha Tanzania ni nchi ya 80, Uganda ni ya 69 na Kenya ni ya 37 katika UBORA WA ELIMU kati ya nchi 144. Mm kama mtanzania mwenzenu naskitika sana kuona JK akiendelea kuteua Mawaziri wasio kuwa na vyeti halisi katika sekta hii nyeti. Na mpangilio mbovu wa madaraja unao letwa ili kuficha udhaifu kwa lengo la kujijenga kisiasa huenda kujisafisha kwa lengo la uchaguzi ujao mwaka 2015.
Pia natumia mwanya huu kuondoa ukungu ulio tanda machoni mwa watu wakidhani elimu yetu (Tanzania) ni bora kuliko ya Uganda.
Utafiti pia unaonesha Tanzania ni kinara wa Matatizo kama : Rusha 16.3%, ukosefu wa mitaji au fedha za kuanzisha biashara 15.6% , Ukosefu wa miundombinu bora 10.8%, mfumko wa bei 10.7%, Urasimu wa vyombo vya serikali 8.0%, nk.
Pia natumia mwanya huu kuondoa ukungu ulio tanda machoni mwa watu wakidhani elimu yetu (Tanzania) ni bora kuliko ya Uganda.
Utafiti pia unaonesha Tanzania ni kinara wa Matatizo kama : Rusha 16.3%, ukosefu wa mitaji au fedha za kuanzisha biashara 15.6% , Ukosefu wa miundombinu bora 10.8%, mfumko wa bei 10.7%, Urasimu wa vyombo vya serikali 8.0%, nk.