TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Je Wajua ya Kuwa Bugger Kwa Kiswahili fasaha uitwa "SANGWEJI ?"
Ndiyo,chukua hiyo kama ulikuwa haujui!
Kumekuwa na tatizo la waastafu wengi kupata shida kurudi mikoani,wilaya kwao kuanza maisha upya pindi wanapostaafu!
Tanzania yetu ni kubwa mno na hamna haja wastaafu kurudi mkoani kwenu kuanza upya!
Unakuta mtu kazaliwa mkoa wa Mbeya,na amekuwa mwalimu mkuu wa shule tofauti tofauti mkoani Kigoma,muda wote wa miaka 45 au 50 ya miaka yote Kigoma hakutaka kujenga mkoani Kigoma anaamua kurudi kujenga Mkoani Mbeya akiwa tayari umri umemtupa na hafahamiani na mtu yeyote Mbeya isipokuwa huko Kigoma,unajiuliza sababu ya yeye kupakimbia Kigoma ni ipi?,yaani uishi Kigoma miaka 40 halafu utegemee utapata Raha Mbeya Kwa miaka 10?,nani alikudanganya?
Unakuta hata hapo Mbeya hafahimiki na majirani zake,kila kitu Kibaya kikitokea watamuhisi yeye kwakuwa ni mpya kwenye hilo eneo!
Unakuta ni mtumishi kapangiwa kazi pale Wilayani Magu na yeye ni mzaliwa wa Lindi,kwanini usijenge Nyumba hapo Magu uishi na familia yako kuliko kutangatanga na uzee wote huo!,Unalazimisha ukajenge kwenu nani anayekufahamu huko Lindi?,mwisho wa siku unaenda kwenu Lindi kila mtu anakushangaa,huna mwenyeji Wala rafiki wa kupiga naye soga unaishia kujifungia ndani kwako kama mwanga!
Jengeni huko huko mnakopangiwa kazi kwasababu mnakutana na watu na wafanyakazi wenzenu Kwa muda mwingi,hivyo mnajua wapi pa kuanzia hata kama mkipata tatizo!
Hapa nazungumzia Kwa wafanyakazi wote ambao wanapangiwa Kituo Cha kazi Kwa miaka 3 na kuendelea kama wewe ni mfanyakazi wa serikali ambaye unafanya kazi Kwa kuhama hama,let's say kila baada ya miezi 3 au 4 unahama hii hoja haikuhusu,wewe angalia panapokufaa Jenga huko na anzisha familia!
Ndiyo,chukua hiyo kama ulikuwa haujui!
Kumekuwa na tatizo la waastafu wengi kupata shida kurudi mikoani,wilaya kwao kuanza maisha upya pindi wanapostaafu!
Tanzania yetu ni kubwa mno na hamna haja wastaafu kurudi mkoani kwenu kuanza upya!
Unakuta mtu kazaliwa mkoa wa Mbeya,na amekuwa mwalimu mkuu wa shule tofauti tofauti mkoani Kigoma,muda wote wa miaka 45 au 50 ya miaka yote Kigoma hakutaka kujenga mkoani Kigoma anaamua kurudi kujenga Mkoani Mbeya akiwa tayari umri umemtupa na hafahamiani na mtu yeyote Mbeya isipokuwa huko Kigoma,unajiuliza sababu ya yeye kupakimbia Kigoma ni ipi?,yaani uishi Kigoma miaka 40 halafu utegemee utapata Raha Mbeya Kwa miaka 10?,nani alikudanganya?
Unakuta hata hapo Mbeya hafahimiki na majirani zake,kila kitu Kibaya kikitokea watamuhisi yeye kwakuwa ni mpya kwenye hilo eneo!
Unakuta ni mtumishi kapangiwa kazi pale Wilayani Magu na yeye ni mzaliwa wa Lindi,kwanini usijenge Nyumba hapo Magu uishi na familia yako kuliko kutangatanga na uzee wote huo!,Unalazimisha ukajenge kwenu nani anayekufahamu huko Lindi?,mwisho wa siku unaenda kwenu Lindi kila mtu anakushangaa,huna mwenyeji Wala rafiki wa kupiga naye soga unaishia kujifungia ndani kwako kama mwanga!
Jengeni huko huko mnakopangiwa kazi kwasababu mnakutana na watu na wafanyakazi wenzenu Kwa muda mwingi,hivyo mnajua wapi pa kuanzia hata kama mkipata tatizo!
Hapa nazungumzia Kwa wafanyakazi wote ambao wanapangiwa Kituo Cha kazi Kwa miaka 3 na kuendelea kama wewe ni mfanyakazi wa serikali ambaye unafanya kazi Kwa kuhama hama,let's say kila baada ya miezi 3 au 4 unahama hii hoja haikuhusu,wewe angalia panapokufaa Jenga huko na anzisha familia!