KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Alafu watu wanapost chini ya maji, wasikimbizwe hehehe, hii country yao bana, heri kenya inakuanga kama mbaya mbaya hatufichiTanzania is busy hiding her numbers.
we hata haujielewi, baki na yakoSasa ndio usichekelee kwa kufaniya mass testing wakenya elfu 10 ikiwa idadi ya wakenya waliopo Nairobi huijui ,sawa sawa na kusuka kamba huku nyuma inaungua Moto .unaweza kumpima mtu leo baada ya mwezi akawa na korona Sasa mpaka umalize watu wote Nairobi hawa wa mwanzo cjui Kama watakuwa bado wapo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
a lot like? Can u plse mention them!
Kule Kunyaland watu waliruka ukuta!Aisee sasa hit watu wanaumbuka....
I liked what this Ugandan said about Tanzania.
we hata haujielewi, baki na yako
Ni siku tatu zimepita sasa Tanzania haijatoa taarifa yoyote kuhusu corona, Ni watu wangapi wamepona/fariki/ongezeka ...etc mda wa mwisho walitoa taarifa ni juzi tarehe 24...Kawaida hua wakichelewa sana wanatoa taarifa baada ya siki mbili, sijui kunani , lets hope mambo ni shwari