Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
we hata haujielewi, baki na yako
 
Ni siku tatu zimepita sasa Tanzania haijatoa taarifa yoyote kuhusu corona, Ni watu wangapi wamepona/fariki/ongezeka ...etc mda wa mwisho walitoa taarifa ni juzi tarehe 24...Kawaida hua wakichelewa sana wanatoa taarifa baada ya siki mbili, sijui kunani , lets hope mambo ni shwari

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…