Tanzania ni nchi 2 zinazoshindwa kutoa wachezaji 11 bora AFCON

Tanzania ni nchi 2 zinazoshindwa kutoa wachezaji 11 bora AFCON

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tanganyika na Zanzibar tunashindwa nini kuunda timu Moja imara ya kushinda makombe Africa na duniani. Shida ni vipaji hakuna, makocha hakuna, mashabiki haukuna na uongozi wa nchi?

tumerogwa?
 
India na china zina watu zaidi ya bilioni lakini hazina timu za mpira tishio duniani. Kwa hiyo suala sio ukubwa wa nchi au idadi ya watu bali suala ni vipaji na kuwekeza kwenye mifumo sahihi. Hakuna aliewaroga ila mnataka shortcut.
 
India na china zina watu zaidi ya bilioni lakini hazina timu za mpira tishio duniani. Kwa hiyo suala sio ukubwa wa nchi au idadi ya watu bali suala ni vipaji na kuwekeza kwenye mifumo sahihi. Hakuna aliewaroga ila mnataka shortcut.
India ni nchi Moja TU lakini Tanzania ni nchi mbili zenye ligi mbili, serikali mbili, TFF 2, wizara za michezo mbili na bajeti mbili. Yaani ni sawa na kusema Tanzania na Kenya waandae timu Moja ya kushiriki Afcon halafu timu hiyo inashindwa na timu ya Kenya TU.
 
Ng'ombe zikiungana bado zinabaki kuwa ng'ombe tu
 
Tanganyika na Zanzibar tunashindwa nini kuunda timu Moja imara ya kushinda makombe Africa na duniani. Shida ni vipaji hakuna, makocha hakuna, mashabiki haukuna na uongozi wa nchi?

tumerogwa?
Vipaji vipo ila vingine vyote hakuna yaani wachambuzi hakuna viongozi hakuna.

Kiufupi watanzania hawajawahi kua na vision Kwenye sector ya michezo.
 
Kulikuwa na sababu zipi kibu na Fei wamalize dk 90 Leo dhidi ya DRC? kweli nchi mbili zilikosa sub ya kibu? Kibu anamsindikiZa adui kuelekea golini lakini kocha kang'ang'ana na Kibu hadi mwisho.
 
Mc
Kulikuwa na sababu zipi kibu na Fei wamalize dk 90 Leo dhidi ya DRC? kweli nchi mbili zilikosa sub ya kibu? Kibu anamsindikiZa adui kuelekea golini lakini kocha kang'ang'ana na Kibu hadi mwisho.
Mchezaji akisha choka ata maamuzi yanakua si sahihi, Kibu alikimbia na jamaa karibu mita 15 bila kufanya maamuzi.
Serikali kwa kushirikiana na Tff watafute namna ya kupeleka vijana nje ata kwa kugharamia mafunzo.
Kwa kutegemea wachezaji wa soka la ndani tuta endelea kulaumiana.
 
  • Thanks
Reactions: K11
India ni nchi Moja TU lakini Tanzania ni nchi mbili zenye ligi mbili, serikali mbili, TFF 2, wizara za michezo mbili na bajeti mbili. Yaani ni sawa na kusema Tanzania na Kenya waandae timu Moja ya kushiriki Afcon halafu timu hiyo inashindwa na timu ya Kenya TU.
Sasa hao china na India mbona wanashindwa na wenzao wenye ligi moja? Germany ana ligi ngapi mbona yuko juu ya china? Hujiulizi nchi ndogo kama spain,england ,portugal ziko juu kisoka kuliko manchi mengi tu makubwa. Sijui serikali 2,.TFF 2 sio lolote kama huna vipaji na hufuati mifumo sahihi.Mkoa mmoja tu wa mbeya unaweza kuwa na timu imara ya taifa ukifuata mifumo sahihi.
 
Sasa hao china na India mbona wanashindwa na wenzao wenye ligi moja? Germany ana ligi ngapi mbona yuko juu ya china? Hujiulizi nchi ndogo kama spain,england ,portugal ziko juu kisoka kuliko manchi mengi tu makubwa. Sijui serikali 2,.TFF 2 sio lolote kama huna vipaji na hufuati mifumo sahihi.Mkoa mmoja tu wa mbeya unaweza kuwa na timu imara ya taifa ukifuata mifumo sahihi.
DRC Wana miaka mingapí wanapigana?
 
🤣🤣 kiufupi Waha msiwaweke kwenye hilo kundi, Tumefungwa goli la kwanza wakajikaza, goli la pili likawaibua buuu!!!
Wanadai Kigoma hadi Kinshasa ni km chache kuliko Kigoma to Dar.
I hate this WLLIPP
 
Back
Top Bottom