CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Ya propesa mwenye mdomo kama samakiCUF ipi iliyoketa hii post?
Nami nataka kufahamu..CUF asili ilishakufa na mwaka huu tunaweza kushuhudia historia nyingine kwa upande wa ZanzibarCUF ipi iliyoketa hii post?
Zee tapeli kweli hili
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Hivi huyu si alisema amestaafu siasa ufahamu umerudi? 'he does not keep his words'CUF ipi iliyoketa hii post?
Cuf yenyewe ameipa karaha
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Nchi nyingi tu hazina hofu,tumesaidiwa na mazingira tu ya Hali ya hewaUongo.
Tanzania ndio nchi pekee duniani ambayo haina hofu ya corona ambayo imeondoa furaha duniani.
Cuf si mtangaze kufunga chama tu mbona mnakuwa wapishi hivyo.