MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,373
rwanda ya 48
kenya ya 71
tanzania ya 97
uganda ya 107
burundi ya 117
viva kagame...................
anyway, ukilinganisha na rwanda, sio fair sana, kwasababu, rwanda ukubwa wake ni kama shamba la mheshimiwa sumuye tu, au mkapu labda. Labda kenya kidogo, lakini kenya haikusaidia vita vya ukombozi wa kusini mwa afrika wala hawaja wahi kupigana vita. Pia sisi tunagawana sana kipato na mafisadi. So the going is really tough. So big up tanzania. Twaaweeeza.