Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Mimi kama Mkenya nahuzunika sana kuona kwamba tumezungukwa na nchi za kidikteta. Kenya is the only democracy in East Africa. Mkubwa wa Upinzani Freeman Mbowe na wafuaswi wake wamekamatwa usiku wa kuamkia jana na wanashikiliwa na polisi. Inakisiwa kwamba watashtakiwa kwa madai ya ugaidi. Yaani mnarudi nyuma ndugu zetu. Kushtaki Freeman Mbowe kwa shtaka la kigaidi inadhihirisha kwamba huko kwenu kuna udikteta wa hali ya juu hata kushinda Uganda.