Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

Ukweli Mimi siwezi kujua ukweli kwakua hakuna vita ambayo ilitokea tukapambana ukiondoa Uganda ambayo. Kunawatu wanasema ingao. Tulishinda. Lakini. Vijanawetu. Wengiwalikufa. Nikweli jeshiretu. Niimala. Lakini. Yakwamba nila 6 kwaubora. Mtoa mada. Angesema. Vigezo. Gani. Alivyotumia
 
Kwenye muhimu ni ushindi Ila kwenye vifo hata wakifa wanajeshi wawili ni hasara
 
We jamaa unaandikaje aisee
 
KTK TAARIFA ZOTE EPUKA SANA KUTOA TAARIFA ZA JESHI, HAWANAGA DOGO............utajikuta matatani muda si mreefu.
 
china na india, ****. hawa wachina walipigwa na wajapan kama kuku mpaka wakajenga ukuta wa kujilinda, hao wahindi wana kitu gani zaidi ya nyuklia? wamerekani tunawaona katika lethal operation duni
Unaleta story za 1920s, enzi za Japan expansionism......? sasa hivi Japan atachapwa mpaka aombe poo
 
Data zip unataumia... Rwanda Kuna maafisa kabao Wana train TMA.... Not orly Rwanda... Hata South Africa.. TMA ina historia nzur. Ni chuo kikongwe kwenye medani ya vita
 
KTK TAARIFA ZOTE EPUKA SANA KUTOA TAARIFA ZA JESHI, HAWANAGA DOGO............utajikuta matatani muda si mreefu.
Hahahahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Hivi yule nanihii alitoroka na taarifa za jeshi kwenye laptop alipatikana?

Nchi hii bogus kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…