Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Kenya, having completed its SGR, 50 years after Tanzania constructed Tazara is enough reason to say Kenya is now catching up with Tanzania and not vice cersa.
unasema nini sasa, Bandari ya Mombasa inapiga mizigo double ya ukichanganya bandari zote Tanzania, Alafu Hio Tazara yenu haijawahi kubeba mizigo mingi kuliko MGR yetu iliojengwa 1901 !!!!!! Miaka mia moja na ishirini iliopita!
 
unasema nini sasa, Bandari ya Mombasa inapiga mizigo double ya ukichanganya bandari zote Tanzania, Alafu Hio Tazara yenu haijawahi kubeba mizigo mingi kuliko MGR yetu iliojengwa 1901 !!!!!! Miaka mia moja na ishirini iliopita!
Shaba yote ya zambia na DRC inapitia hapo
 
Most of these are still on pictures. We want real buildings not those on paper!
I usually like proving Tanzanians wrong😂😂, below are name of the buildings plus their real pictures.

Britam 200m

article.jpeg
 
Shaba yote ya zambia na DRC inapitia hapo
Nope, Nyengine hupitia Namibia, Nyengine huenda na route ya Mozambique na iliobaki ipitie na Dar port, na tena asilimia kubwa hupelekwa kwa malori ... Kwa kifupi kwa mwaka hua sidhani kama madini hayo hufika hata tani 2 million.
 
unasema nini sasa, Bandari ya Mombasa inapiga mizigo double ya ukichanganya bandari zote Tanzania, Alafu Hio Tazara yenu haijawahi kubeba mizigo mingi kuliko MGR yetu iliojengwa 1901 !!!!!! Miaka mia moja na ishirini iliopita!

Soma tena ulichoandika kuhusu TZR.
 
My

My friend Nimetoka kuangalia Britam Ina gorofa 31 wakati TPA Ina gorofa 40 , kitu kimeongeza urefu wa Britam kuzidi TPA ni mnara wa mawasiliano
😂😂😂😂😂
 
My

My friend Nimetoka kuangalia Britam Ina gorofa 31 wakati TPA Ina gorofa 40 , kitu kimeongeza urefu wa Britam kuzidi TPA ni mnara wa mawasiliano
GTC nayo pia ina mnara?
 
Back
Top Bottom