Tanzania nzima inaweza msahau Hayati Magufuli ila sio Tabora

Tanzania nzima inaweza msahau Hayati Magufuli ila sio Tabora

Nimefika Tabora ndugu zangu, nimelia sana baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Magufuli, Magufuli, Magufuli, nimekuita mara tatu, najua hunisikii, ila Mungu atakulipa siku ya ufufuo. Ni miaka 60 tangu tupate uhuru, mkoa wa Tabora ulisahaulika sana...hasahasa kwenye huduma muhimu za kijamii.

Awamu zote kabla ya JPM zilipita,bila kuwaletea wana Tabora maji safi na salama. JPM aliwahi kusema, ukiomba mkopo ili upeleke huduma ya maji Tabora, wahisani wanakataa.... JPM aliamua kutumia hela anayokusanya (Kodi) kupeleka maji katika mkoa mkubwa wenye historia iliyotukuka.

Kilichoniliza sio JPM kufa, wala kuleta maji Tabora. Kilichoniliza, kuna bibi mmoja, aliniomba hela 2,000...nikasita kumpatia maana anaonekana ni mlevi. Mimi msabato, ni makosa kumpatia mtu hela akanunue kitu kitakachomuangamiza.

Nikamuuliza ya nini 2000, akanambia "Mjukuu wangu, hii naenda kulipia mkopo wa bomba la maji" Nilishituka, ikabidi nimuite dogo mmoja, alikuwa anapita, nikamuuliza kama kuna mikopo ya hivyo.

Dogo akanambia baada ya maji kufika wilaya ya nzega kipindi cha JPM, changamoto ilikuwa wananchi wengi hawakuwa na uwezo wa kuvuta mabomba ya maji kutoka ziwa Viktoria. Serikali ya wanyonge, kupitia rais Magufuli akatoa order, kila asiyenauwezo wa kuvuta bomba la maji, atakopeshwa, atakuwa analipa 2000 kila wiki mpaka itakapo timia 40,000.

Bibi yule nilimpa 2000. Sasa leo Napita zangu mitaa ile yule bibi ananiletea risti inayodhibitisha kalipia maji. Nilishangaa sana. Nilimpa 20,000 ili akalipe deni lote. Baada ya kufika, napolalaga, nilianza kulia baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Tabora nayoifahamu mimi, leo ndoo mbili shilingi 50? Miaka 60 bila maji, Magufuli akaleta maji.

AsanteMagufuli- Kweli vizuri havidumu
Kwanini usimshukuru Lowassa ambae alienda hadi Misri kugombana na waarabu waliokuwa hawataki watanzania tusitumie maji ya ziwa Victoria. Akawaambia Tanzania haitambui mikataba ya mkoloni. Akaahidi kuyafikisha maji Dodoma... Hawa unaowasifia wanatekeleza mawazo ya watangulizi wao. Huna haja ya kulia 😂😂
 
Wewe ndio unaropoka mkuu,

Tanzania iliweka mpango, ifikapo 2025, ifikie Uchumi wa kati wa Chini, mwaka 2020 Tanzania ikafikia uchumi wa kati wa chini.

Mipango ni kitu kimoja, kutekeleza mipango ni kitu kingine.

Kupanga ni rahisi sana ila kutekeleza ni kazi inayohitaji kujitoa sadaka.

Nadhani utaacha uropokaji baada ya hapa.
Uchumi wa kati ambao zaidi ya asilimia 70 ya vijana hawana ajira? Wafanyakazi zaidi ya miaka 5 hawajaongezewa mishahara? Wanafunzi wanasomea chini ya miti na wanakaa chini? Uchumi unakua kwa 4%? Watu wanakula mlo mmoja kwa siku? Unajua uchumi wa kati wewe au unaropoka tu? Idiot
 
Huu ndio wimbo uliopo ,

Hao walioandaa hiyo mipango kwanini hawakuitekeleza wao??
Utekelezaji ulikuwa unaendelea, awamu ya kwanza maji yamefika Shinyanga na Kahama awamu ya pili yamefika Tabora, Nzega na Igunga awamu ya tatu yatafika Singida na Dodoma.
 
Magufuli anachukiwa na watu wachache sana hapa duniani, niamini mimi bro. Fanya research mkuu. Wanaomchukia ni kikundi cha watu wachache sana ambao wako JF, twitter na Ufipa basi.
Uko sahihi mkuu.Ukiingia hiyo mitandao ndio kuna magenge yasiyompenda Magufuli
 
Nimefika Tabora ndugu zangu, nimelia sana baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Magufuli, Magufuli, Magufuli, nimekuita mara tatu, najua hunisikii, ila Mungu atakulipa siku ya ufufuo. Ni miaka 60 tangu tupate uhuru, mkoa wa Tabora ulisahaulika sana...hasahasa kwenye huduma muhimu za kijamii.

Awamu zote kabla ya JPM zilipita,bila kuwaletea wana Tabora maji safi na salama. JPM aliwahi kusema, ukiomba mkopo ili upeleke huduma ya maji Tabora, wahisani wanakataa.... JPM aliamua kutumia hela anayokusanya (Kodi) kupeleka maji katika mkoa mkubwa wenye historia iliyotukuka.

Kilichoniliza sio JPM kufa, wala kuleta maji Tabora. Kilichoniliza, kuna bibi mmoja, aliniomba hela 2,000...nikasita kumpatia maana anaonekana ni mlevi. Mimi msabato, ni makosa kumpatia mtu hela akanunue kitu kitakachomuangamiza.

Nikamuuliza ya nini 2000, akanambia "Mjukuu wangu, hii naenda kulipia mkopo wa bomba la maji" Nilishituka, ikabidi nimuite dogo mmoja, alikuwa anapita, nikamuuliza kama kuna mikopo ya hivyo.

Dogo akanambia baada ya maji kufika wilaya ya nzega kipindi cha JPM, changamoto ilikuwa wananchi wengi hawakuwa na uwezo wa kuvuta mabomba ya maji kutoka ziwa Viktoria. Serikali ya wanyonge, kupitia rais Magufuli akatoa order, kila asiyenauwezo wa kuvuta bomba la maji, atakopeshwa, atakuwa analipa 2000 kila wiki mpaka itakapo timia 40,000.

Bibi yule nilimpa 2000. Sasa leo Napita zangu mitaa ile yule bibi ananiletea risti inayodhibitisha kalipia maji. Nilishangaa sana. Nilimpa 20,000 ili akalipe deni lote. Baada ya kufika, napolalaga, nilianza kulia baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Tabora nayoifahamu mimi, leo ndoo mbili shilingi 50? Miaka 60 bila maji, Magufuli akaleta maji.

AsanteMagufuli- Kweli vizuri havidumu
Waliotumbuliwa na Magufuli pamoja na magenge ya chadema yatakupinga na kukukashfu

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Nimefika Tabora ndugu zangu, nimelia sana baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Magufuli, Magufuli, Magufuli, nimekuita mara tatu, najua hunisikii, ila Mungu atakulipa siku ya ufufuo. Ni miaka 60 tangu tupate uhuru, mkoa wa Tabora ulisahaulika sana...hasahasa kwenye huduma muhimu za kijamii.

Awamu zote kabla ya JPM zilipita,bila kuwaletea wana Tabora maji safi na salama. JPM aliwahi kusema, ukiomba mkopo ili upeleke huduma ya maji Tabora, wahisani wanakataa.... JPM aliamua kutumia hela anayokusanya (Kodi) kupeleka maji katika mkoa mkubwa wenye historia iliyotukuka.

Kilichoniliza sio JPM kufa, wala kuleta maji Tabora. Kilichoniliza, kuna bibi mmoja, aliniomba hela 2,000...nikasita kumpatia maana anaonekana ni mlevi. Mimi msabato, ni makosa kumpatia mtu hela akanunue kitu kitakachomuangamiza.

Nikamuuliza ya nini 2000, akanambia "Mjukuu wangu, hii naenda kulipia mkopo wa bomba la maji" Nilishituka, ikabidi nimuite dogo mmoja, alikuwa anapita, nikamuuliza kama kuna mikopo ya hivyo.

Dogo akanambia baada ya maji kufika wilaya ya nzega kipindi cha JPM, changamoto ilikuwa wananchi wengi hawakuwa na uwezo wa kuvuta mabomba ya maji kutoka ziwa Viktoria. Serikali ya wanyonge, kupitia rais Magufuli akatoa order, kila asiyenauwezo wa kuvuta bomba la maji, atakopeshwa, atakuwa analipa 2000 kila wiki mpaka itakapo timia 40,000.

Bibi yule nilimpa 2000. Sasa leo Napita zangu mitaa ile yule bibi ananiletea risti inayodhibitisha kalipia maji. Nilishangaa sana. Nilimpa 20,000 ili akalipe deni lote. Baada ya kufika, napolalaga, nilianza kulia baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Tabora nayoifahamu mimi, leo ndoo mbili shilingi 50? Miaka 60 bila maji, Magufuli akaleta maji.

AsanteMagufuli- Kweli vizuri havidumu
Huu mradi uliasisiwa na kujengwa enzi za Benjamin Mkapa na sii mwendazake, yeye alikamilisha tu. Sifa zimwendee Rais Benjamin Mkapa aliepambana na Wamisri waliokuwa hawataki tuchukue maji ziwa Victoria na kuzunguka dunia nzima tusipate mkopo wa kujenga. Na Rais Benjamin Mkapa akaamua kuujenga kwa fedha za ndani. Hongera Hayati Mkapa.
 
Huu mradi uliasisiwa na kujengwa enzi za Benjamin Mkapa na sii mwendazake, yeye alikamilisha tu. Sifa zimwendee Rais Benjamin Mkapa aliepambana na Wamisri waliokuwa hawataki tuchukue maji ziwa Victoria na kuzunguka dunia nzima tusipate mkopo wa kujenga. Na Rais Benjamin Mkapa akaamua kuujenga kwa fedha za ndani. Hongera Hayati Mkapa.
Kumbe siyo mbowe aliyeukamilisha? Nilijua ni mbowe
 
Kuna wa kumsahau JPM basi....! Ni lini wachawi umekuta wakiwa wanapendana mchana bana?

Unachokiona kwa baadhi ya watanzania kinaendana tu walivyo wachawi kutopendana mchana, lakini usiku wanacheza pamoja

Asiyesema Mchana kwamba JPM kafanya makubwa katika nchi hii, atasema usiku,

kilichopo ni unafiki tupu, na unafiki haudumu
 
Kwanini usimshukuru Lowassa ambae alienda hadi Misri kugombana na waarabu waliokuwa hawataki watanzania tusitumie maji ya ziwa Victoria. Akawaambia Tanzania haitambui mikataba ya mkoloni. Akaahidi kuyafikisha maji Dodoma... Hawa unaowasifia wanatekeleza mawazo ya watangulizi wao. Huna haja ya kulia [emoji23][emoji23]
Akili yako ndogo sana mkuu...kuwa na wazo ni moja, kitekeleza ni 100
 
Uchumi wa kati ambao zaidi ya asilimia 70 ya vijana hawana ajira? Wafanyakazi zaidi ya miaka 5 hawajaongezewa mishahara? Wanafunzi wanasomea chini ya miti na wanakaa chini? Uchumi unakua kwa 4%? Watu wanakula mlo mmoja kwa siku? Unajua uchumi wa kati wewe au unaropoka tu? Idiot
Kwani sisi ndio tulisema tumeingia uchumi wa kati? Si ni World Bank? Ungewauliza hao world bank, nadhani ungepata majibu sahihi
 
Utekelezaji ulikuwa unaendelea, awamu ya kwanza maji yamefika Shinyanga na Kahama awamu ya pili yamefika Tabora, Nzega na Igunga awamu ya tatu yatafika Singida na Dodoma.
Singida Maji yalikuwepo kabla ya Tabora...usikariri mkuu
 
Huu mradi uliasisiwa na kujengwa enzi za Benjamin Mkapa na sii mwendazake, yeye alikamilisha tu. Sifa zimwendee Rais Benjamin Mkapa aliepambana na Wamisri waliokuwa hawataki tuchukue maji ziwa Victoria na kuzunguka dunia nzima tusipate mkopo wa kujenga. Na Rais Benjamin Mkapa akaamua kuujenga kwa fedha za ndani. Hongera Hayati Mkapa.
Mwaka gani mradi wa maji Tabora umejengwa...acha roporopo mkuu.
 
Upo sahihi mkuu,
Rais haleti maji ila kodi za wananchi zinaleta maji.

JPM alikubali kutukanwa na kuambiwa anachukua kodi kwa nguvu ili apate hela ya kupeleka maji Tabora.

Kukusanya kodi kwa wafanyabiashara waliozoea kusamehewa na kukwepa kodi sio mchezo mkuu.

Si unajua kuna baadhi ya wafanyabiashara walihamishia biashara zao nje ya nchi ili kukwepa kodi? Akiwepo tajiri Freeman Mbowe wa Moshi?

Miaka yote ya uhuru, kodi imekusanywa, Tabora ni miongoni mwa mikoa inayotoa mapato makubwa sana, mbona maji hayakuwepo?

JPM will forever live in peoples's hearts.
Miaka 60 ya utawala wa chama chake watu hawana maji. Na yanapoletwa hawana 2000 za kila wiki ili waunganishiwe maji.
Miaka 60 ya kujitawala mwananchi anaona ni ajabu kupata maji.
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria.

Amandla...
 
Back
Top Bottom