Tanzania nzima inaweza msahau Hayati Magufuli ila sio Tabora

Ni aibu huku kukiwa matumizi ni makubwa hasa
 
Singida Maji yalikuwepo kabla ya Tabora...usikariri mkuu
Maji Singida yameanza kupatikana miaka ya hivi karibuni baada ya well field mpya kuanza kutoa maji. Kabla ya hapo Singida walitegemea visima vichache vilivyopo katikati ya mji ambavyo maji yake hayafai kwa matumizi ya binadamu kutokana na kuwa na nitrates na nitrites nyingi. Nitrites ni hatari sana kwa watoto wachanga kwa sababu huwasababishia kupata matatizo ya kupumua na kubadilika rangi na kuwa na ubluu katika ngozi. Kubadilika rangi na kuwa na ubluu kunasababishwa na upungufu wa oxygen ambayo huliwa na nitrites iliyo ndani ya maji na hatimaye kuingia katika damu.

Hivyo mpango wa muda mrefu wa serikali ni kupeleka maji kutoka Ziwa Victoria ili kuongezea katika maji ya visima kutoka well field mpya. Hii itawezesha mji wa Singida kuwa na maji ya kutosha kikabiliana na ongezeko la watu na ukuaji wa mji.
 
Acha kuropoka, mpango wa kupeleka maji Tabora, Singida hadi Dodoma kutoka Ziwa Victoria uliandaliwa tangu enzi za Rais Mkapa wakati Lowassa akiwa waziri wa maji. Na mpango huo bado unatekelezwa!
Mwache aendelee kujiliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani sisi ndio tulisema tumeingia uchumi wa kati? Si ni World Bank? Ungewauliza hao world bank, nadhani ungepata majibu sahihi
Kwa data za kupika? Na sasaiv baada ya uchumi kuwa unakua kwa asilimia 4 bado mpo uchumi wa kati?
 
Acha kuropoka, mpango wa kupeleka maji Tabora, Singida hadi Dodoma kutoka Ziwa Victoria uliandaliwa tangu enzi za Rais Mkapa wakati Lowassa akiwa waziri wa maji. Na mpango huo bado unatekelezwa!
kuandaa mpango si kuidhinisha fedha itoke.

Hili taifa lina mipango lukuki toka uhuru

Hata kuhamia dodoma ni mpango pia toka zamani

Kwan usingetekeleza huo mpango wewe ukienda kushtak wapi.
 
Sisi huku Mtwara tumeshasahau kabisa kama kulikuwa na katili mwenye jina kama hilo amewahi kuishi duniani
 
Watakubeza
 
Magufuli anachukiwa na watu wachache sana hapa duniani, niamini mimi bro. Fanya research mkuu. Wanaomchukia ni kikundi cha watu wachache sana ambao wako JF, twitter na Ufipa basi.
Na hapa JF wanajulikana. Idadi yao hapa haifiki hata 300. Hawawezi kujenga hoja na wakaeleweka au kushawishi uma bila ya kudhihaki wengine. Tushawazoea sas, hakuna hata haya ya kujibizana nao. Tuwaache tu maana roho zao zinapata amani kwa kuanzisha threads za kukashifu wengine na ku comment wao wenyewe kwa kukashifu zaidi.
 
Acha kuropoka, mpango wa kupeleka maji Tabora, Singida hadi Dodoma kutoka Ziwa Victoria uliandaliwa tangu enzi za Rais Mkapa wakati Lowassa akiwa waziri wa maji. Na mpango huo bado unatekelezwa!
Hata mpango wa kuhamia dodoma, kujengwa kwa bwawa la kuzalisha umeme uliandaliwa wakati raisi ni Nyerere. Take note kupanga ni tofauti na kutekeleza

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Acha kuropoka, mpango wa kupeleka maji Tabora, Singida hadi Dodoma kutoka Ziwa Victoria uliandaliwa tangu enzi za Rais Mkapa wakati Lowassa akiwa waziri wa maji. Na mpango huo bado unatekelezwa!
Mipango ipo mingi tu tatizo utekelezaji.Ngosha aliwapiga BAO la kisigino kwa kuwa yeye alikuwa man of action.Mtamchukia lakini pengo hamtaliziba.Jamaa atabaki juu kama timu ya Italy.Mtasubiri sana
 
Hata KAGERA pia hawatamsahau pamoja na kule kwa walima korosho
 
Acha kuropoka, mpango wa kupeleka maji Tabora, Singida hadi Dodoma kutoka Ziwa Victoria uliandaliwa tangu enzi za Rais Mkapa wakati Lowassa akiwa waziri wa maji. Na mpango huo bado unatekelezwa!
Kumbuka hizo enzi zilikua za kuweka miradi kwenye makaratasi lakini utekelezaji ulikua ni zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…