Pole sanaA Tanzanian Dick is bigger than a Kenyan Dick. Useless threads that do NOT make head or tail.
Na Uganda πΊπ¬ ilivyoamua kupitisha shehena yake Tanzania ndio imefanya mambo yazidi kunogaI knew this was going to happen. TRC wanapiga mzigo sana siku hizi. Huduma zao zimekua na uweledi na vichwa vime ongezeka. Waki endelea hivi itarahisisha upatikanaji wa fedha kwa ajili ya SGR.
Ulitakiwa ulete figure za sgr hapo unakuwa unajenga hojaKwa tunaojua hali ya SGR ya kenya hatuhitaji comparison baada ya hii taarifa so far BRT is doing great than their SGR
Mkuu wewe mgeni jukwa hili! Maana ungekua unapitaga humu usinge hoji hilo. Ila usijali watazileta wenyewe zao zakupikwa then tuta waumbua kwa kuwaletea za ukweli. Ndivyo mambo yanavyo endaga humu. Karibu sanaUlitakiwa ulete figure za sgr hapo unakuwa unajenga hoja
Figure gani wakati Kenya sgr imepata hasaraUlitakiwa ulete figure za sgr hapo unakuwa unajenga hoja
Kwani hasara haina figure?Figure gani wakati Kenya sgr imepata hasara
Neno hasara na neno faida pia ni figureKwani hasara haina figure?
Neno hasara na neno faida pia ni figureKwani hasara haina figure?
Makusanyo ni revenue, si faida!Neno hasara na neno faida pia ni figure
BRT hii ya DART ambayo abiria tunayoilalamikia kila siku? BRT hii ambayo kulipa wafanyakazi wake tu ni mtihani?Kwa tunaojua hali ya SGR ya kenya hatuhitaji comparison baada ya hii taarifa so far BRT is doing great than their SGR
Kwaiyo aijapata faida? Sasa kamaa aijapata faida huu Uzi usinge kuwepoMakusanyo ni revenue, si faida!
Kwaiyo aijapata faida? Sasa kamaa aijapata faida huu Uzi usinge kuwepo