Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Watanzania poleni sana kwa msiba huu mkubwa uliotuelemea. Wengi tulimpenda sana rais wetu kutokana na mazuri mengi aliyotufanyia.
Mengi yamesemwa na sina lengo la kuyarudia. Lengo la hii thread ni kuhoji ukimya wa kwaya ya TOT ambapo nakumbuka wakati wa msiba wa mzee wetu Rais Mstaafu Mkapa walitoa wimbo maalumu tena muda mfupi baada ya tangazo la kifo chake.
Kwenye msiba wa Baba Magufuli naona Msechu ndiye amejikongoja na kutoa wimbo dakika chache baada ya Rais Samia Suluhu kutangazia Taifa kifo cha JPM.
Kulikoni?
Mlioko karibu na TOT tujuzeni kinachojiri au kwaya imesambaratika?
Mji mpana huu
Mengi yamesemwa na sina lengo la kuyarudia. Lengo la hii thread ni kuhoji ukimya wa kwaya ya TOT ambapo nakumbuka wakati wa msiba wa mzee wetu Rais Mstaafu Mkapa walitoa wimbo maalumu tena muda mfupi baada ya tangazo la kifo chake.
Kwenye msiba wa Baba Magufuli naona Msechu ndiye amejikongoja na kutoa wimbo dakika chache baada ya Rais Samia Suluhu kutangazia Taifa kifo cha JPM.
Kulikoni?
Mlioko karibu na TOT tujuzeni kinachojiri au kwaya imesambaratika?
Mji mpana huu