Tanzania Opposition leader Zitto Kabwe arrested ahead of October election

Tanzania Opposition leader Zitto Kabwe arrested ahead of October election

Mumefuta upinzani kabisa, Mbowe kachezea kichapo ameufyata haongei tena, Lissu kwanza ndio Tanzania ashaipa kisogo baada ya marisasi, sauti iliyokua imesalia ni ya Zitto, naye ndiye huyo katiwa lokup, waliosalia ni panya buku wasio na sauti yoyote.
bora hata tz kuna vyama vya siasa kenya kuna majangili ya siasa, yahani ni mwendo wa kuhunganisha makundi ya majangili kisha mnaita vyama vya siasa

Halafu ujanijibu inshu yangu, kwani yule jamaa aliyekua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya kenya ni kitu gani kilimkuta?
 
bora hata tz kuna vyama vya siasa kenya kuna majangili ya siasa, yahani ni mwendo wa kuhunganisha makundi ya majangili kisha mnaita vyama vya siasa

Halafu ujanijibu inshu yangu, kwani yule jamaa aliyekua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya kenya ni kitu gani kilimkuta?
o
hapo tanzagiza mnaambukizana ujinga! ebu taja jina la huyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi unayesema kauliwa...
 
o
hapo tanzagiza mnaambukizana ujinga! ebu taja jina la huyo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi unayesema kauliwa...
😂😂 kunyaland hivi chris msando unamjua yule aliyekua mkurugezi wa tume ya uchaguzi kenya?
 
😂😂 kunyaland hivi chris msando unamjua yule aliyekua mkurugezi wa tume ya uchaguzi kenya?
hapa sio vijiweni tandale, Chris Msando alikuwa meneja wa ICT na sio mara mkurugenzi wa tume ya uchaguzi Kenya, mara mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya. Propaganda pia zinahitaji usome na ujieleweshe sio kukariri upuuzi tu. Na kwa ujumbe tu, kesi ya mauaji ya Chris inaendelea kortini na aneyetuhumiwa yupo rumande. Usilinganishe Kenya na meffi kama tanzagiza.
 
hapa sio vijiweni tandale, Chris Msando alikuwa meneja wa ICT na sio mara mkurugenzi wa tume ya uchaguzi Kenya, mara mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Kenya. Propaganda pia zinahitaji usome na ujieleweshe sio kukariri upuuzi tu. Na kwa ujumbe tu, kesi ya mauaji ya Chris inaendelea kortini na aneyetuhumiwa yupo rumande. Usilinganishe Kenya na meffi kama tanzagiza.
😂😂 mbuzi nyigine toka kariobang inaongea, kwa vyovyote vile awe mkurugenzi sijui mwenyekiti lakini si mlimudedisha, kwa hiyo kisa alikua kitengo cha ICT alistahili kufa?
 
😂😂 mbuzi nyigine toka kariobang inaongea, kwa vyovyote vile awe mkurugenzi sijui mwenyekiti lakini si mlimudedisha, kwa hiyo kisa alikua kitengo cha ICT alistahili kufa?
nimekwambia usilinganishe Kenya na upuuzi, leta ushahidi kuwa waliompiga lissu risasi walikamatwa!
 
nimekwambia usilinganishe Kenya na upuuzi, leta ushahidi kuwa waliompiga lissu risasi walikamatwa!
Sasa mbona kenya yenyewe tayari ni upuuzi sasa nishindwaje kulinganisha kenya na upuuzi
 
bora hata tz kuna vyama vya siasa kenya kuna majangili ya siasa, yahani ni mwendo wa kuhunganisha makundi ya majangili kisha mnaita vyama vya siasa

Halafu ujanijibu inshu yangu, kwani yule jamaa aliyekua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya kenya ni kitu gani kilimkuta?

Tangu lini Tanzania kukawa na chama zaidi ya CCM, halafu nilishangaa hata polisi wanafanya kampeni ya CCM, duh yaani nyie huwa mnaibisha Afrika sana.
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2018/10/1875980_VID-20181014-WA0007.mp4
 
Back
Top Bottom