Tanzania orders 1305 cows from Kenya sold

Tanzania orders 1305 cows from Kenya sold

Bahati nzuri wakamataji hawakujichukulia sheria mkononi, walizipeleka mahakamani ambako hayo yote uliyoyasema ndiko kwenye jukumu la kuyatafsiri na kuyatolea maamuzi, kama ni kosa basi mahakama iliyotoa hiyo hukumu ndiyo ya kubeba lawama, lakini siamini kama hayo yote uliyoyasema mahakama haiyafahamu, nina wasiwasi kwamba wewe ndiye ambaye hufahamu vizuri sheria na taratibu za EAC
Huyo hakimu aliyetoa hii hukumu ANAJUA SHERIA ILA HANA BUSARA! That's all I can say for now. Unahukumuje Wakenya watatu kwa kuvuka mpaka kinyemela ihali kuna Watanzania elfu tano ambao wamevuka mpaka kinyemela (on the very same day) na wakati unatoa hukumu yako unajua kabisa kuwa raia wako elfu tano na ushehe wametenda kosa kama hilo unalolihukumu?
All in all tusijijengee chuki baina yetu na majirani zetu. Tusilifanye taifa letu lichukiwe na mtaifa mengine mithili ya North Korea. Tanzania imejijengea heshima kama nchi iliyopigania uhuru wa mataifa mengine barani Afrika. We have to treasure that... Isn't it?
 
Hata wakati serikali ya awamu ya kwanza chini hayati Nyerere alipofunga mpaka baina ya Kenya na Tanzania mwaka 1977 mpaka 1984 haikuwahi kutokea jambo kama hili. Makabila yanayoishi mpakani huwa wana ushirikiano ya kifamilia na free movement. Serikali itafakari upya suala la ujirani mwema kuuza hizi mifugo itakuwa makosa makubwa hata hiyo faini ni kubwa sana.
Waziri wa Mifugo alipokuwa naibu waziri wa mazingira alikuwa anapenda kupiga faini kila mara sasa ameanza tena mwedelezo ule kwenye wizara ya mifugo. Jana kwenye Azam Tv alidai ngombe hizi zinapigwa mnada kwasababu haina mwenyewe, kwa maelezo hapo juu ni kuwa kuna wazee walikuja kuhusu mifugo hiyo wakatiwa ndani kwa kutokuwa na passport ya kuingia nchini.
Mheshimiwa Rais Magufuli ingilia kati suala kwa maslahi ya ujirani mwema kwani Kenya ni soko kubwa la mifugo kutoka Tanzania kwenye mpaka wa Sirari wafugaji kutoka Tanzania haswa kutoka usukumani hupeleka mifugo yao maelfu kwa maelfu kila mara mpaka ndani ya minada nchini Kenya na kuuza bila usumbufu wowote.
Kila mtu anatakiwa kuwa na identity. Kuwa mpakani hakumaanishi identity is not something of a concern. Kwa upande mwingine kufuga kwa aina yao kwa sasa hailipi
 
Wazungu walichora mipaka na kugawanya hata watu wa kabila moja lugha moja desturi moja. Hatua kama hizi zitaibua chuki baina ya hawa Wamaasai, ikumbukwe kuna Wamaasai maelfu ya maelfu wametokea Tanzania na kuishi Kenya na kama kawaida huwa hawazinguliwi maana Wamaasai wana undugu mkubwa sana.
Ndio maana Mwl. Nyerere alihimiza kuunganishwa kwa EA tuwe na nchi moja lakini Kenya mkaona ni heri kuheshimu matakwa ya wazungu.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Man, they'll be fighting with a nation, that's tribes Vs a big nation.
Hao watawasumbua hizo nchi zenu. Wakizingua bongo wata*****.
Kuna top secret, miaka ya 80/70s walikuja hao wasomali wakawa wanasumbua Arusha mipakani huko, zingua sana wamasai, ilitumwa kikosi moja ya jwtz toka Monduli. Hawajawai sogeza pua tena pande hizo.
Mkuu unazeeka na kumbukumbu kupoteza.
Issue ya juzijuzi ya
Wasomali wa Loliondo, leo imekuwa issue ya miaka ya 80 kweli!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Nina imani pande zote mbili zitatumia busara kulimaliza swala hili pasipo kuzua taharuki .....!
 
Busara ni muhimu zaidi kuuza hakuleti mahusiano mema hela wapigwe faini kesho zetu zimekamatwa kwao hapo vip. Pia muunganiko wa mipakani ni wa asili kutenganisha kisiasa ni ngumu.
 
Hii ni kulazimisha ubaya bila sababu.

Hivi hakuna suluhu nyingine zaidi ya kuuza ng'ombe wa jirani zetu kibabe?

Siungi mkono suala hili.
 
mna bahati sana kuwa hawa ni wamaasai...ingekuwa wengine kule northern kenya, damu ingemwagika...tena nyingi sana...those people dont care about the law or borders ...they have weapons and they can be very ruthless...ingekuwa ni hawa, mngewapatia ng'ombe wao roho safi na kuwaomba msamaha...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] saiyo jeshi litakua limeweka mikono mfukoni au kiunoni? Kawaite waje kuwasaidia wenzao waone fire
 
Man, they'll be fighting with a nation, that's tribes Vs a big nation.
Hao watawasumbua hizo nchi zenu. Wakizingua bongo wata*****.
Kuna top secret, miaka ya 80/70s walikuja hao wasomali wakawa wanasumbua Arusha mipakani huko, zingua sana wamasai, ilitumwa kikosi moja ya jwtz toka Monduli. Hawajawai sogeza pua tena pande hizo.
Kweli hata mimi Nakumbuka sana wale wasomali walikua wakisumbua sana mpaka Mabasi ya abiria wanawaibia ila sijui waliyeyukia wapi baada ya jwtz kutuma vijana wake?

Ni kama kibiti wanavyouwawa mpaka jana waarabu watatu wamekula shaba walikua na mabom na silaha police wamewaulia mbali
 
  • Thanks
Reactions: Oii
unawajua wapokot wewe?? hehe....ur very ignorant my fren...wapokot wangewachinja nyote na kuchukua mali yao kana kwamba hamna chochote wamefanya...fanya utafiti kidogo...hawa jamaa wanaenda mpaka Sudan kurudisha ng'ombe zao zikiibiwa na wakitoka kule wanaacha mto wa damu ukitiririka....
Maneno matupu hayavunji mfupa kama nyie wamewashinda waambie wajichanganye Tanzania, we do not entertain none
 
kukurupuka tu...nimkwambia fanya utafiti...kenya sio nchi ya ujamaa😀😀😀😀 ambapo mmezoea kujikusanya chini ya mti na kuharibu haribu hewa mnapo suluhisha migogoro kwa mazungumzo...huko northern Kenya wanaishi na AK47...mtachinjwa mirija na watakapomaliza wanaacha mto wa damu ukitiririka...😱😱
Why Kenya's cattle raids are getting deadlier
STO05713KEN.jpg
a78794f1bdd8b2ecf8cb6e485934052c_L.jpg
665003303001_3274716371001_201431102217498734-20.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] those are just toys and we have them in tons
 
Huyo hakimu aliyetoa hii hukumu ANAJUA SHERIA ILA HANA BUSARA! That's all I can say for now. Unahukumuje Wakenya watatu kwa kuvuka mpaka kinyemela ihali kuna Watanzania elfu tano ambao wamevuka mpaka kinyemela (on the very same day) na wakati unatoa hukumu yako unajua kabisa kuwa raia wako elfu tano na ushehe wametenda kosa kama hilo unalolihukumu?
All in all tusijijengee chuki baina yetu na majirani zetu. Tusilifanye taifa letu lichukiwe na mtaifa mengine mithili ya North Korea. Tanzania imejijengea heshima kama nchi iliyopigania uhuru wa mataifa mengine barani Afrika. We have to treasure that... Isn't it?
Sasa huwezi halalisha kosa kisa kuna mwingine ametenda kosa na hatua hazikuchukuliwa, haya mambo yapo kisheria ndio mana mahakamani imeamua sio swala la mitaani
 
Huyo hakimu aliyetoa hii hukumu ANAJUA SHERIA ILA HANA BUSARA! That's all I can say for now. Unahukumuje Wakenya watatu kwa kuvuka mpaka kinyemela ihali kuna Watanzania elfu tano ambao wamevuka mpaka kinyemela (on the very same day) na wakati unatoa hukumu yako unajua kabisa kuwa raia wako elfu tano na ushehe wametenda kosa kama hilo unalolihukumu?
All in all tusijijengee chuki baina yetu na majirani zetu. Tusilifanye taifa letu lichukiwe na mtaifa mengine mithili ya North Korea. Tanzania imejijengea heshima kama nchi iliyopigania uhuru wa mataifa mengine barani Afrika. We have to treasure that... Isn't it?
Kaka kwasababu umeingiza neno busara, kwamba unadhani hakimu hakutumia busara, hapo umetumia uhuru wako wa kutoa maoni kama raia wengine, hupaswi kushutumiwa wala kulaumiwa, swali ni je sheria inasemaje katika hilo?, kwa sababu hakimu lazima atumie sheria katika kutoa maamuzi yake, ili kesho na keshokutwa akiulizwa kwanini alifikia maamuzi hayo, aweze kuwa na kimbilio, akisema alitumia busara tu na kupindisha sheria, sijui kama wanasheria walio wengi watamuelewa, kwa sababu busara au si busara inategemeana na mambo mengi sana
 
Busara ni muhimu zaidi kuuza hakuleti mahusiano mema hela wapigwe faini kesho zetu zimekamatwa kwao hapo vip. Pia muunganiko wa mipakani ni wa asili kutenganisha kisiasa ni ngumu.
Mipaka ipo kisheria sio kiasili huwezi kuingiza mifugo yako Kenya na Kenya wakakuchekea tu soma sheria za mipaka
 
Hii ni kulazimisha ubaya bila sababu.

Hivi hakuna suluhu nyingine zaidi ya kuuza ng'ombe wa jirani zetu kibabe?

Siungi mkono suala hili.
Hata hivyo huna nafasi kwenye hili ndio mana wakapeleka mahakamani hawakuleta kwako hiyo sio kazi yako
 
Kaka kwasababu umeingiza neno busara, kwamba unadhani hakimu hakutumia busara, hapo umetumia uhuru wako wa kutoa maoni kama raia wengine, hupaswi kushutumiwa wala kulaumiwa, swali ni je sheria inasemaje katika hilo?, kwa sababu hakimu lazima atumie sheria katika kutoa maamuzi yake, ili kesho na keshokutwa akiulizwa kwanini alifikia maamuzi hayo, aweze kuwa na kimbilio, akisema alitumia busara tu na kupindisha sheria, sijui kama wanasheria walio wengi watamuelewa, kwa sababu busara au si busara inategemeana na mambo mengi sana
Mkuu, nakuelewa. Sources ya sheria za Tanzania zimegawanyika katika mafungu kadhaa. Moja ni zile ordinances, yani sheria tulizorithi kutoka kwa Muingereza za kabla ya mwaka 1920. Lakini pia kuna sheria zinaitwa customary laws. Hizi ni sheria zilizojengeka kutokana na mazoea fulani.
Sasa kama kumekuwa na mazoea ya watu wa mipakani kuvuka mipaka bila kufuata taratibu na hakuna mtu ambaye aliwahi kushtakiwa kwa kosa hilo, ina maana customary laws zinaruhusu watu wa mipakani kuvuka mipaka bila kufuata formality.
Muulize huyo 'hakimu wako' kuhusu customary laws naye atakuhadithia maana wanasheria wooote wanafahamu juu ya uwepo wa 'customary laws'...
 
Back
Top Bottom