Tanzania orders 1305 cows from Kenya sold

Hizo Takataka haziwezi kufanya lolote kwenye nchi yenye JWTZ.

Tungepukutisha nusu ya Kenya yote.

Eti uje Tanzania na bunduki zako unafuata mifugo iliokamatwa na serikali.

Tungewanyoosha hadi Amnesty International wangeingilia kati.
jwtz lenyewe haliwezi kushinda kikosi cha GSU
 
If we reached an agreement with Barrick then why cant we reach a comporomise with poor Kenya Masai.
Tuzungumze watoe ng'ombe kiasi kama fine wengine wawape warudishe Kenya
 
Ipo siku wale masai kajiado county watakosa mpaka Ardhi ya kuishi/kujenga watahamia Longido kwa majidai ya ujirani mwema. Toa 500m ama uza mifugo yote
 
Usilete habari za enzi hizo,mliishi kwa mazoe,anyway,tangu lini mkawa majirani wema?rudisheni Mali zetu za EAC Mlizoiba.alafu serikali ya TZ,imeisha piga marufuku uuzwaji wa mifugo nje ya nchi.Mtanyooka tu.
 
Usilete habari za enzi hizo,mliishi kwa mazoe,anyway,tangu lini mkawa majirani wema?rudisheni Mali zetu za EAC Mlizoiba.alafu serikali ya TZ,imeisha piga marufuku uuzwaji wa mifugo nje ya nchi.Mtanyooka tu.
unaongea ni kama tz ni developed country lol!!!
 
unaongea ni kama tz ni developed country lol!!!
Mnaongea vile utadhani kenya ni nchi iliyostaarabika bila UKABILA,haha,nimeishawaambia LDC,sio kovu,tutatoka,lakini ukabila na rushwa iliyokidhiri,havitaisha kenya.
 
Wakenya bana!
Ndio maana mnalilia ardhi yetu sana,kwenu hakuna ardhi,mnaleta mifugo mpaka Mwanga?Mwanga ni kwa wamasai au ni mpakani?
Tumechoka kufanywa shamba la bibi,ifike wakati kila mtu apambane na hali yake,
 
The government need to be fair for the pastoralists from Kagera, Arusha and Kilimanjaro because they share the same ancestral origin with those of the same ethnic group from the neighbouring countries of Rwanda, Uganda and Kenya. There are a lot of intermarriages in these groups and handling their cases requires reason of its own kind for purpose of maintaining good neighborhood and good diplomatic ties.

 
Huu ni ukweli mtupu na hakuna kitu kibaya kama kugombana na jirani yako unaweza hata kukosa maji ya kunnywa.
 
Huu ni ukweli mtupu na hakuna kitu kibaya kama kugombana na jirani yako unaweza hata kukosa maji ya kunnywa.
Je kama jirani mwenyewe hata maji anakutegemea wewe?[emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Wakenya bana!
Ndio maana mnalilia ardhi yetu sana,kwenu hakuna ardhi,mnaleta mifugo mpaka Mwanga?Mwanga ni kwa wamasai au ni mpakani?
Tumechoka kufanywa shamba la bibi,ifike wakati kila mtu apambane na hali yake,
Hujitambui! Afrika moja.
 


Walete huku Southern border yenu.. Uone cha mtema kuni, waje kwetu ndani alafu wadindishe pvmbv zao, sisi tunakata zote na tunawafanya vijakazi wetu, hatutaki ujinga sisi, tunawafyeka wote, unless waombe kwa upoleee na kufuata sheria na taratibu tena kulipa fine iko pale pale, wakija kichwa juu juu kama usemavyo sisi Tz tunakata hivyo vichwa alafu tuone sasa watarudi hawana vichwa na mifugo hawana..

We don't joke na nchi yetu sisi.. Tunakutoa mav ukiona.. Waleteni hao unaoona ni wajanja na wakorofi huko kwenu alafu waingie kwetu alafu walete kiburi uone moto.. Tunachana na kusambaratisha uchafu.. Damn
 
Reactions: Oii
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…