Tanzania overtakes SA as Kenya’s top remittance

Tanzania overtakes SA as Kenya’s top remittance

wewe jana si ulisema mimi ni shetani? mbona unani-quote?
Wewe ndio ulianza kuniquote. Ama umesahau? Wacha nikukumbushe
👇👇
Screenshot_20210423-042848.jpg
 
Duu bro what's wrong with you. How a lockdown of a country prevents the money to enter into it.
Wacha ujinga bwana. Vitu simple kama hizi pia unajifanya huelewi? Sio lazima uwe genius ili ujuwe kwamba lockdowns zimefanya uchumi wa nchi za Kiafrika kuharibika na kuingia into recession. Kwa mfano uchumi wa SA na hata uchumi wa Kenya zimeingia into a recession. Recession maana yake ni kwamba economic activities zimepungua ndani ya nchi kiasi cha kwamba Gdp inadecline badala ya kugrow. Kila sector inakuwa negatively affected na watu wanapigwa kalamu. Hawa immigrants wa Kenya wanaoishi SA kwa mfano baadhi yao waliamua kurudi Kenya badala ya kubaki huko wakati wa lockdown, wengine wao walipoteza kazi zao, halafu wale ambao walibaki huko, wameamua kusave pesa yao wakati huu wa janga hili. Na wakati wa lockdown lazima ujipange kifedha. Sasa kuja unipinge na utoe maelezo vizuri kama mimi nilivyofanya.
 
What do you expect with all the investments Kenyans have done in Tanzania?
 
Very good news, Tanzania is open for business..We hope pres. SSH will encourage more foreigners to invest in Tz and develop the economy.
For the unfortunate idiots who's Forex remittances are now dependent on Tanzania, have manners you now know who is boss
 
Very good news, Tanzania is open for business..We hope pres. SSH will encourage more foreigners to invest in Tz and develop the economy.
For the unfortunate idiots who's Forex remittances are now dependent on Tanzania, have manners you now know who is boss
Hahaha. You guyz are so desperate.
 
Wacha ujinga bwana. Vitu simple kama hizi pia unajifanya huelewi? Sio lazima uwe genius ili ujuwe kwamba lockdowns zimefanya uchumi wa nchi za Kiafrika kuharibika na kuingia into recession. Kwa mfano uchumi wa SA na hata uchumi wa Kenya zimeingia into a recession. Recession maana yake ni kwamba economic activities zimepungua ndani ya nchi kiasi cha kwamba Gdp inadecline badala ya kugrow. Kila sector inakuwa negatively affected na watu wanapigwa kalamu. Hawa immigrants wa Kenya wanaoishi SA kwa mfano baadhi yao waliamua kurudi Kenya badala ya kubaki huko wakati wa lockdown, wengine wao walipoteza kazi zao, halafu wale ambao walibaki huko, wameamua kusave pesa yao wakati huu wa janga hili. Na wakati wa lockdown lazima ujipange kifedha. Sasa kuja unipinge na utoe maelezo vizuri kama mimi nilivyofanya.

Umetoa maelezo meengi, lakini bado hujaeleza how lockdown in RSA deters the monies to enter RSA. Kumbuka, hapa hatuongelei GDP wala FDI.
 
Umetoa maelezo meengi, lakini bado hujaeleza how lockdown in RSA deters the monies to enter RSA. Kumbuka, hapa hatuongelei GDP wala FDI.
Boss hatuongei kuhusu remittances entering SA bali tunaongelea kuhusu remittances leaving SA and coming to Kenya. I hope unaelewa maana ya neno "remittance".
 
Kenya is now dependent on Tz, Any wrong move and remmitances are cut off. Plus am sure Tz is happy to poach investors from Kenya..let them open up businesses, pay tax and employ Tanzanians..hopefully also send something small to their poor kibera fake mzungus
Hahaha. You guyz are so desperate.
 
I doubt if your are one of the product of Kenyan teachers in Tanzania, the kind of stupidity that you possess can't be associated with Kenyan teachers. This leaves me with option guessing, either you were taught by Tanzanian witch doctor or you didn't attend any school at all.
my friend, the only thing kenyan teachers bring to Tanzania is "English" nothing more!
 
Boss hatuongei kuhusu remittances entering SA bali tunaongelea kuhusu remittances leaving SA and coming to Kenya. I hope unaelewa maana ya neno "remittance".
Uishi Tanzania,
ulipe kodi ya mshahara/Biashara TRA,
Ukule chakula cha mpishi na mkulima wa Tz,
Ulipe kodi ya nyumba kwa Mtanzania.
Mwisho wa mwezi utume mia Tano kwa ndugu yako kibera..
Hivi unaona nchi gani imefaidika sana?? Mbona mnakuanga ma lofa kiasi hiki?
Cc Geza Ulole eliakeem joto la jiwe
 
my friend, the only thing kenyan teachers bring to Tanzania is "English" nothing more!
Walimu wa Tanzania hawajui Kila kitu hadi hesabu. So Kenyan teachers come to up those chances.
 
Kenya is now dependent on Tz, Any wrong move and remmitances are cut off. Plus am sure Tz is happy to poach investors from Kenya..let them open up businesses, pay tax and employ Tanzanians..hopefully also send something small to their poor kibera fake mzungus

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fake mzungus
 
mi
Walimu wa Tanzania hawajui Kila kitu hadi hesabu. So Kenyan teachers come to up those chances.
mimi naongea kama mtz, umuhimu wa waalimu wa kenya ni kiingereza tu, masomo mengine yote tunao waalimu. kwa hiyo umuhimu wenu ni kiingereza tu, hilo limejulikana tangu enzi.
 
Smugglers are not sleeping green garnet, sapphire etc are still being smuggled into Kenya.This happen from a very simple anomaly people to people not wanamgambo ideologies. Comredi lusinde ask your ccm head honcho to build a wall between the hub(kenya) and major source ndaganyiass.
 
THURSDAY APRIL 22 2021

SUMMARY​

  • Dollar inflows from African countries into Kenya dropped 65.9 percent in the first three months this year, with Tanzania overtaking South Africa as the biggest source of remittances.
  • New data by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that Kenyans living across the continent sent home $39 million (Sh4.2 billion) between January and March compared to $114.7 million (Sh12.3 billion) in a similar period of 2020.
Dollar inflows from African countries into Kenya dropped 65.9 percent in the first three months this year, with Tanzania overtaking South Africa as the biggest source of remittances.

New data by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that Kenyans living across the continent sent home $39 million (Sh4.2 billion) between January and March compared to $114.7 million (Sh12.3 billion) in a similar period of 2020.

The sharp decline in flows was driven by lower remittances from South Africa, which was the biggest source last year but has since slipped behind Tanzania and Uganda.

Dollar flows from the continent contrasted with the rest of the world led by the US, which saw a 17 per cent increase in total remittances from $707.1 million (Sh76.3 billion) in the first quarter of last year to $829.4 million (Sh89.5 billion) this year.

“The US remains the largest source of these inflows, accounting for 55.9 percent of remittances in March 2021. The other top source countries were: UK (11.2 percent), Saudi Arabia (4.0 percent), Canada (2.9 percent), and Australia (2.9 percent),” the CBK said in a press statement.

The negative impact of the coronavirus has been felt much more among developing countries compared to the developed nations where citizens and businesses have enjoyed bailouts and social support worth trillions of shillings after workers were either laid off or forced to stay indoors to contain Covid-19.

In Africa, most governments lacked adequate spending power amid falling tax revenues and huge debt payments, which left residents hit by the pandemic without any support.

As a result of job cuts, pay cuts and lockdown measures those living in other African countries were unable to send money home.

Many also opted to return home rather than get stranded abroad. Most countries, including Kenya, banned international flights, excluding cargo and repatriation of foreign nationals.

Dollar flows from the rest of the world have continued to grow despite initial fears that job losses would lead to a sharp decline in money sent from abroad.

At the onset of the pandemic, CBK Governor Patrick Njoroge said the US, one of the leading sources of the greenback, had seen 26 million people lose jobs in March last year when some lockdown measures were imposed and that the impact of the job cuts would start filtering into the country in April.

“We are projecting a decline in remittances for the year, something in the order of 15 percent,” he said.

However, massive support by rich countries helped reduce the impact of the job cuts and helped Kenyans in the diaspora send even more money to associates and loved ones back home.

Kenyans living abroad have become one of the country’s top foreign exchange earners, bringing in more dollars than traditional exports.

The diaspora sent home a total of $3.09 billion (Sh333.7 billion) in the whole of last year, which was more than the value of all the flower, fruit and vegetable exports that stood at Sh150.1 billion.

Analysis shows that the value of remittances is half of all exports combined as Kenya sold goods worth Sh641.2 billion outside its borders.

Diaspora remittances have been on an increase, helping support the Kenyan shilling against pressures of dollar demand from importers and debt payments.

Diaspora dollars have become so important that the CBK has rolled out a survey on the costs and efficiency of sending remittances, the difficulties encountered in sending cash or non-cash remittances, how remittances are used by the recipients, and the availability of information on investment opportunities in Kenya.

“The importance of remittances has revealed a need for more information that would support policy decisions. This information will help guide policies intended to boost the role of remittances in supporting the economy and livelihoods,” Dr Njoroge said.


======

MY TAKE
Kuna mapoyoyo hukaa humu ndani na kuikandia Tanzania wakati Tanzania ni leading remittance source ya Kenya kwa Africa! Yaani kuna watu wana-survive huko Kenya kutokana na remittance iliyokuwa generated na uchumi wa Tanzania!
Sasa wewe kilaza si ungefanya utafiti uwone how much does Tanzania receive from Kenya ndio uongee😅🤣🤣😅, hamuwezi shirikisha ubongo kwa hoja, kazi ni kukurupuka tu., Check out Kenya is the leading remittance country in Tanzania, not only in Africa but globally😅😅🤣🤣, and it was in 2017., Haya tafuta ya 2021 usiseme tumepika data, uone mlivyo ovyo!😅🤣🤣

Screenshot_20210424-090604.png
 
Back
Top Bottom