Tanzania Oxygen walalamikia Serikali kutotengeneza barabara nzuri kwenda kwenye visima vyao vya gesi

Tanzania Oxygen walalamikia Serikali kutotengeneza barabara nzuri kwenda kwenye visima vyao vya gesi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Msimu huu ea mvua madereva wa malori ya TOL wamelalamika kuhusu kuisahau barabara ya kutoka Katumba kwenda Mwakaleli ambako huko.kuna visima vyao vya gesi. Wanasema mtwara kwenye gesi wameoeleka barabara nzuri ambako gesi imegunduliwa juzi tu lakini kule kwenye visima vyao serikali haitaki kupeleka toka nchi ipate uhuru wanaweka mikokoto tu.

Wanasema pia malori ya madereva wenzao yanayobeba chai ilimwayo kwa wingi kule yanashindwa kwenda kwa ubovu wa barabara wakati chai ya kule inaingiza mipesa kibao ya kigeni miaka nenda rudi.

Serikali vizuri kupeleka barabara maeneo ya uxalishaji badala ya ukomalia kujenga barabara za mijini imeniuma sana.
 
Mbona huku sema haya awamu ya ujenzi?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sikusikia leo ndio nimesikia unadhani mtu waweza kuwa na taarifa za nchi nzima kwenye kila kitu? Leo ndio nimeshangaa kuwa kumbe kuna visima vya gesi huko vya miaka nenda rudi ila serikali haijawahi peleka lami barabara baya ni liko hovyo.

Mimi sio Mungu kujua kila kitu

Kama na wewe unajua sehemu nyingine yenye raslimali zinazotoka huko ila serikali haijaweka miundo mbinu ruksa na wewe sema.
 
Msimu huu ea mvua madereva wa malori ya TOL wamelalamika kuhusu kuisahau barabara ya kutoka Katumba kwenda Mwakaleli ambako huko.kuna visima vyao vya gesi. Wanasema mtwara kwenye gesi wameoeleka barabara nzuri ambako gesi imegunduliwa juzi tu lakini kule kwenye visima vyao serikali haitaki kupeleka toka nchi ipate uhuru wanaweka mikokoto tu.

Wanasema pia malori ya madereva wenzao yanayobeba chai ilimwayo kwa wingi kule yanashindwa kwenda kwa ubovu wa barabara wakati chai ya kule inaingiza mipesa kibao ya kigeni miaka nenda rudi.

Serikali vizuri kupeleka barabara maeneo ya uxalishaji badala ya ukomalia kujenga barabara za mijini imeniuma sana.
Akili itakujia tu, maana ulikuwa wa kuimba na kusifu. Mbona hukuyasema hayo enzi za Mag*f*ol. Ukajitia kusifia kila kitu. Hebu twambie sasa hizo fedha zilizo tapanywa huko chattel si zingesaidia sana huko katumba kwenye uzalishaji.!!
 
Hao jamaa wanahitajika sana wakati huu wa Corona hiyo Oxygen yao ndio mkombozi wa maisha yetu, naishauri serikali iyafanyie kazi haraka maombi yao.
 
KWANINI HALMASHAURI HUSIKA ISIWEKE KIPAUMBELE KWA KUTENGEZA BARABARA HIZO ILI IWEZE KUONGEZA KIPATO CHAKE KUTOKANA NA KODI TOL WANAZOWALIPA? HALAFU BARABARA HIZO HIZO HUTUMIWA KUKUSANYA CHAI AMBAYO INAINGIZA FOREX LUKUKI!!!
 
Msimu huu ea mvua madereva wa malori ya TOL wamelalamika kuhusu kuisahau barabara ya kutoka Katumba kwenda Mwakaleli ambako huko.kuna visima vyao vya gesi. Wanasema mtwara kwenye gesi wameoeleka barabara nzuri ambako gesi imegunduliwa juzi tu lakini kule kwenye visima vyao serikali haitaki kupeleka toka nchi ipate uhuru wanaweka mikokoto tu.

Wanasema pia malori ya madereva wenzao yanayobeba chai ilimwayo kwa wingi kule yanashindwa kwenda kwa ubovu wa barabara wakati chai ya kule inaingiza mipesa kibao ya kigeni miaka nenda rudi.

Serikali vizuri kupeleka barabara maeneo ya uxalishaji badala ya ukomalia kujenga barabara za mijini imeniuma sana.
Chato hakuna oxygen? Bara ara nzuri kule
 
Msimu huu ea mvua madereva wa malori ya TOL wamelalamika kuhusu kuisahau barabara ya kutoka Katumba kwenda Mwakaleli ambako huko.kuna visima vyao vya gesi. Wanasema mtwara kwenye gesi wameoeleka barabara nzuri ambako gesi imegunduliwa juzi tu lakini kule kwenye visima vyao serikali haitaki kupeleka toka nchi ipate uhuru wanaweka mikokoto tu.

Wanasema pia malori ya madereva wenzao yanayobeba chai ilimwayo kwa wingi kule yanashindwa kwenda kwa ubovu wa barabara wakati chai ya kule inaingiza mipesa kibao ya kigeni miaka nenda rudi.

Serikali vizuri kupeleka barabara maeneo ya uxalishaji badala ya ukomalia kujenga barabara za mijini imeniuma sana.
Walikuwa na wabunge maprofesa huko je waliwasaidia nini?
 
Msimu huu ea mvua madereva wa malori ya TOL wamelalamika kuhusu kuisahau barabara ya kutoka Katumba kwenda Mwakaleli ambako huko.kuna visima vyao vya gesi. Wanasema mtwara kwenye gesi wameoeleka barabara nzuri ambako gesi imegunduliwa juzi tu lakini kule kwenye visima vyao serikali haitaki kupeleka toka nchi ipate uhuru wanaweka mikokoto tu.

Wanasema pia malori ya madereva wenzao yanayobeba chai ilimwayo kwa wingi kule yanashindwa kwenda kwa ubovu wa barabara wakati chai ya kule inaingiza mipesa kibao ya kigeni miaka nenda rudi.

Serikali vizuri kupeleka barabara maeneo ya uxalishaji badala ya ukomalia kujenga barabara za mijini imeniuma sana.
serikali ya CCM iko busy kununua madege.
 
KWANINI HALMASHAURI HUSIKA ISIWEKE KIPAUMBELE KWA KUTENGEZA BARABARA HIZO ILI IWEZE KUONGEZA KIPATO CHAKE KUTOKANA NA KODI TOL WANAZOWALIPA? HALAFU BARABARA HIZO HIZO HUTUMIWA KUKUSANYA CHAI AMBAYO INAINGIZA FOREX LUKUKI!!!
Waziri wa Tamisemi hili linamhusu sehemu.inai giza mipesa kibao ya ndani na pesa za kigeni halafu barabara hovyo kabisa si sahihi

Miradi ya kimkakati ni pamoja na kujenga barabara za uhakika maeneo yaingizayo pesa kama hilo
 
Isije ikadhaniwa kwamba ni visima vinatoa oxygen. Kampuni ni TOL lakini nadhani mleta mada anazungumzia gesi ya kawaida na sio visima ambavyo vinazalisha oxygen. Oxygen haitoki visimani. Mimi sio Mkemia kama Jiwe kwa hivyo ruksa kunikosoa ikilazimu.
 
TARURA hiyo barabara hawaioni au? umuhimu wake kwa taifa hawaujui au?

Au wanadubiri mkurugenzi mkuu atumbuliwe ndipo waseme ya muhimu? Wajenge
 
Sikusikia leo ndio nimesikia unadhani mtu waweza kuwa na taarifa za nchi nzima kwenye kila kitu? Leo ndio nimeshangaa kuwa kumbe kuna visima vya gesi huko vya miaka nenda rudi ila serikali haijawahi peleka lami barabara baya ni liko hovyo.

Mimi sio Mungu kujua kila kitu

Kama na wewe unajua sehemu nyingine yenye raslimali zinazotoka huko ila serikali haijaweka miundo mbinu ruksa na wewe sema.
Hivyo ni visima vya miaka mingi Sana hata mm nimewahitembelea eneo hilo.lina barabara mbaya Sana na ni sehemu ya uwanda wa juu.sehemu inaitwa mano mwakaleli kupitia njia ya mambo.hata wenyeji wa Tukuyu wengi wao hawavijui visima hivyo.
 
Nilisoma mwakaleli miaka ya 80 mwishoni ila wqbunge wao ndio kina Mwandosya wanashinda Twitter badala ya kupeleka barabara
Huyo alikuwa na maslahi yake binafsi.yy anaishi mwakaleli,visima viko mwakaleli lkn hata ck moja hajaviongelea ujue hao ndo professors wetu wa nchi hii.wachumia tumbo.
 
Akili itakujia tu, maana ulikuwa wa kuimba na kusifu. Mbona hukuyasema hayo enzi za Mag*f*ol. Ukajitia kusifia kila kitu. Hebu twambie sasa hizo fedha zilizo tapanywa huko chattel si zingesaidia sana huko katumba kwenye uzalishaji.!!
Chattel ndo wapi
 
Back
Top Bottom