Niwe mkweli tu, lipuli wamecheza vizuri mno kipindi hiki cha kwanza na kama wangekuwa makini kidogo pengine wangekuwa wanaongoza kwa goli mbili bila mpaka half time.
Mashabiki wa simb bwana!! Utawapenda aisee, kama mashabiki wa chama fulani cha siasa hapa nchini. Inakuwaje wanacheza na Lipuli halafu wamebeba kinyago chenye rangi ya Yanga. Ndomaana wanajitia mkosi.