OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Naomba utoe akilini mwako nauliza ivyo labda nitakua Chura!Huo msimamo baki nao wewe, sis tunacheza
Hapana,tunarudi Town kumrambisha dawa Ruvu JKT kabla ya MbeyaSimba Kafikisha Mechi 27 na Pointi zake 69 dhidi ya Mechi 32 za Yanga na Pointi zake 74. Mnyama bado Viporo vitano anaelekea zake Mbeya kesho Alfajiri kwa mechi 2.
Mwenye table ya TPL please
Ndiwoo ndiwoooo nani anabisha kwani
😂😂😂😂Mimi ni Simba lakini tumebebwa....limesikika lilevi moja hapa mitaa ya Jangwani
Duuh hivi Shadeeya analijua hili kweli?Yanga huko kitu kinagonga..bado 5 ili twende sawa..! Na viporo teleeee
Azam FC 3-1 Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi hawawezi kusogea kuna Ngurumo za Simba.Huu Uzi Vyura wanaukimbia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ila Nyonzima naona anaanza kutuletea tabia zake za Yanga za kujitafutia kadi nyekundu
Msenge tumemsifia anaanza kuvimba. Uzuri anatujuaila Nyonzima naona anaanza kutuletea tabia zake za Yanga za kujitafutia kadi nyekundu