Tanzania Premier League 'TPL' Biashara United dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Karume Musoma

Kabisa
 
Yan wewe umenena...Mimi siku hizi sioni kama mkude ana kiwango tena,na kila akicheza kiungo huwa kinapotena kabisa
 
Waamuzi waondolewe..Haiwezekani Bocco afunge mabao yote peke yake..[emoji23][emoji23]

Vyura mnakwama wapi...!
Mafukara FC tunatazama magoli ya Boko kuona kama tunaweza kulalamika.

Ewaaaaa Boko amepiga shuti kwa shoto,na yeye anatumia lia. Hii imekaaje vyura wenzangu? Shadeeya
 
Msimu mbovu kuliko yote toka TPL ianzishwe. . Sio kila mtu anaweza kuongoza mpira .. . Huyu Msomali akale zake gomba
 
Msimu mbovu kuliko yote toka TPL ianzishwe. . Sio kila mtu anaweza kuongoza mpira .. . Huyu Msomali akale zake gomba
Acha chuki za Kipumbavu wewe churra. Msimu mzuri ni ule ambao kila mechi Yanga alipewa Penati na timu Pinzani walilimwa Red Card. Anyway Malinzi ananyea ndoo kwa ufedhuri wake kesho Jumapili mpelekee Sabuni Ukonga.Usipaniki Tambua Kuwa Kutesa Kwa Zamu wewe umetesa vya kutosha kulicho bakia waachie wenzio wamalizie

UBINGWA WA YANGA MSIMU WA MWAKA 2016/17 KADI NYEKUNDU TISA KWA WAPINZANI WA YANGA NA PENALTY TISA KWA YANGA

SIMBA Vs YANGA KADI NYEKUNDU #JUUKO MECHI YA PILI KADI NYEKUNDU KWA #ABDI BANDA πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs MWADUI KADI NYEKUDUπŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs MBEYA CITY KADI NYEKUNDUπŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs COASTAL UNION KADI NYUKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs KAGERA SUGAR FC KADI NYEKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs TANZANIA PRISON KADI NYEKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs MTIBWA SUGAR FC KADI NYEKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs SINGIDA FC KADI NYEKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦

YANGA Vs MAJI MAJI YA SONGEA KADI NYEKUNDU πŸ‡²πŸ‡¦
 
Hamkuzoea shida..mlizoea kubebwa na Malinzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Msimu mbovu kuliko yote toka TPL ianzishwe. . Sio kila mtu anaweza kuongoza mpira .. . Huyu Msomali akale zake gomba
 

Alaa kumbe
 
Wale ambao ligi ikiisha leo tunakuwa mabingwa.. Eti tunakoment wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…