Hawawezi kukubali wana Gubu kama mdudu anayeitwa nyegereYanga wamekubali matokeo au wako bize na uchaguzi?
[emoji23]Yanga wamekubali matokeo au wako bize na uchaguzi?
Unashangaa nini wakati timu inacheza mfululizo?Tff walitizame hili haiwezekani timu inashinda mfululizo hivi.....
I was joking mkuu...Unashangaa nini wakati timu inacheza mfululizo?
Tunarudi Dar j5 kumchapa coast unionNext?