Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Ana magoli 11.hivi okwi ana magolimangapi hadi sass?
okAna magoli 11.
Coast UnionCoast or mtibwa?
Huyu mlevi kama sio Hazard atakuwa Laki Si PesaTunaenda kukata rufaa haiwezekani siku ya leo inajulikana wazi kuwa ni siku yetu wanaYanga ya kufanya uchaguzi sasa inakuaje jitimu jingine liko mbeya huko linacheza mchezo wa ligi kuu tena mbaya zaidi limepata ushindi yani hii siyo haki kabisa TFF mko wapi, bodi ya ligi mko wapi inauma sana.
Alisikika mlevi mmoja akisema
Simba nguvu moja
Simba bingwa
๐๐๐ Lol
Duuh! Sawa Mtani.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38][emoji196][emoji196][emoji196][emoji38][emoji38][emoji38]
Simba nguvu moja
Simba bingwa Shadeeya
Mtani ujue nimecheka. ๐๐๐
11hivi okwi ana magolimangapi hadi sass?
Nackia wanakataa et haiwezekani okwi ampige chenga golikpaYanga wamekubali matokeo au wako bize na uchaguzi?
Usinikumbushe Mtani. ๐Unacheka lakini matokeo ya TP Mazembe na Prisons hayajakuridhisha..Hapo ulipo umechukia mno[emoji23][emoji23][emoji23]
Waambie hata mwakani bingwa ni Simba SC, wajipange 2025Huku kwetu Yanga baada ya kuona gap LA point limebaki 2 na jumatano tunawapita wamekubali yaishe wanasema eti wanajipanga kwa ajili ya mwakani,vipi huko kwenu bado wabishi???