Ndo maana nashangaa ilhali wala si mechi moja kuleta Updates kwa Yanga
KMC na Yanga Oktoba 25, 2018 Nilileta, kwahivyo iwe Simba au Yanga nitaleta kulingana na nafasi na yeyote anaweza kuleta mkuu.
Ndo maana hata mwisho nasema timu ya JF tumeleta huu mchezo, (ushirikiano) hii ni burudani tu