Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

77' Gooooooooooaaal..Ni yule yule Emmanuel Okwiiiiiii anapiga bao la tatu na kuhesabu Hat-Trick

Pasi safi ya Square ya Kapombee

Ruvu Shooting 0-4 Simba SC
Hahaha.. Huyu jamaa kazoea kumpapasa Masau Bwire.. Msimu uliopita aliwapiga hat-trick.. Msimu huu tena... Ebwana eeeh.. Huyu Okwi kashindikana.
 
Huyu kocha walimuita kocha wa mabondia
Sasa naona wapinzani wanavyopigwa Knock out[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu Kakolanya anacheza mpira gani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu tunazungumzia mpira wa miguu usitutajie majina ya wacheza rede sisi hua hatufatilii michezo hiyo
 
Hahaha.. Mkuu jamaa wapo.. We utaona tu mpira ukiisha.
Sidhani kama watakuja na kama wakija basi watakuja na hii

Mbona ajibu alifunga goli zuri

Alafu refa anawabeba msingeweza kushinda hizo

Yanii hawawezi kuleta hoja nje ya hapo
 
Back
Top Bottom