Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Hahaha.. Huu 'undugu' sisi hatuutambui, ndo mana mpaka tunakumbushwa.
Yote kwa yote, Masau asidhani kauli aliyoitoa Mkuu 1954 itapunguza adhabu yake. Kipigo kipo pale pale, baada ya mechi ndo tutazungumza, mwenzetu ni wa wapi.
Hahahahaaa. Unaogopa kuusema ukweli eeee.

Hivyo leo mnajipigia tu. Duuh.
 
Nilikuwa bado sijawahi kumuona mtani wako sembo hapa, naona anatema makinikia tu kuhusu mnyama[emoji3][emoji3][emoji3]
Achana na huyu Mtani wangu sembo yaani nahisi mechi ikiwa kesho basi ye leo kutwa nzima ana google tu vya kuja kuvileta huku.

😂😂😂😂😂 simba ikifungwa anapakimbiaga hapa yaani hata um-mention vp hatokei wala kukupa likes akifuatiwa na Ghazwat. 😂😂😂😂😂
 
Achana na huyu Mtani wangu sembo yaani nahisi mechi ikiwa kesho basi ye leo kutwa nzima ana google tu vya kuja kuvileta huku.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba ikifungwa anapakimbiaga hapa yaani hata um-mention vp hatokei wala kukupa likes akifuatiwa na Ghazwat. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Aibu sio jambo jema kabisa
 
Hahaaaa. Lol

Mkijitahidi sana basi viwili nje ya hapo suluhu tu inawatosha. Teh teh teh
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] daah yani kwa soka lote lile analopiga SIMBA ambalo vyura wanatamani wawe nalo halafu matokeo yawe kama hivyo ulivyosema [emoji115] umeninyong'onyeza sana
 
Back
Top Bottom