Tanzania Premier League (TPL).... Simba SC dhidi ya Azam FC, moja kwa moja kutokea uwanja wa Uhuru, Dar es salaam

Ila mwakani kama ataenda na timu hii, bila kuifanyia any reformation, hakika kazi mtakuwa nayo, tena isiyo ya mchezo.
Mmeanza kupiga sala kuhusu mwakani... Bakuli fc hamueleweki
 
Nshawaendea Sumbawanga mkuu,
subiri majibu yanakuja, jiandae kuyapokea.
Mara paap!.. Yanga mkabeba ndoo, nafikiri mtamvua nguo ZAHERA na kumbeba juu juu kumtembeza nchi nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…