Tanzania Premier League 'TPL' Simba SC Vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Tanzania Premier League 'TPL' Simba SC Vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Muache kipa ajilalishe wakumbuke wapo nyuma bao moja
 
Emanuel Okwi ni Threat kwa timu yoyote hata asipowafunga lazima wamuongelee kidogo
 
Halafu kuna taka taka zinasema "Bocco" aondoke msimu ujao eti umri umeenda wakati zenyewe zinazo ongea hivyo ni ma 'ajuza' na vikongwe tupu.
wakuondoka ni salamba arudi lipuli
 
Shaban Kado ni Golikipa wa muda mrefu na ni Golikipa mzuri sana sijui ufupi unamponza kazidi uanduje hatakiwi na timu za maana.
 
45+3' Kuelekea kuwa mapumziko TPL

Naaaaam mpira ni mapumziko kipindi cha kwanza kimemalizika ambapo Simba wanatoka mbele kwa bao la kutangulia kupitia kwa John Bocco kunako dakika ya 32

Simba SC 1-0 Mtibwa Sugar
 
Back
Top Bottom