Tanzania Premier League 'TPL' Simba SC Vs Singida United, Uwanja wa Taifa Dar es salaam

Kabumbu lipo katikati ya uwanja kuashiria kuanza kwa mchezo wa TPL

Naaaaaaaam mpira umekwisha anza

Simba SC 0-0 Singida United

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi unazungumzia mechi ya simba dhidi ya singida sasa nimekosea wapi? Chukulia kama mtu hajui singida kama ni timu ya Tanzania angeelewaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…