Tanzania Premier League (TPL) Simba VS Coastal Union....Uhuru Stadium ( Shamba la Bibi)

TFF wamemtengenezea Mikia FC mazingira ya kuchukua ubingwa kitambo na ufungaji bora na korokoro zote ili atambe.
 
Ukisikia matumizi mabovu ya ubongo.. ndo haya!! Mechi ya walume hawa inahusika vipi na malalamiko hayo ?
Sina tatizo na ushindi huo.. naongelea mfumo.. TPL toka ianzishwe Kuna mwaka walikosa mdhamini Mashabiki maandazi utawajuwa..
 
TFF wamemtengenezea Mikia FC mazingira ya kuchukua ubingwa kitambo na ufungaji bora na korokoro zote ili atambe.
Yanga Zahera anasema tageti ilikuwa ashike 6 au 7... sasa kwa malengo haya ulitaka bingwa awe JKT KANEMBWA..??
 
Sina tatizo na ushindi huo.. naongelea mfumo.. TPL toka ianzishwe Kuna mwaka walikosa mdhamini Mashabiki maandazi utawajuwa..
TFF na 8-1 havina uhusiano.
Pole mtani kama unateseka.
 
Panic
 
Historia kujirudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…