97' Naaaam mpira umekwishi,
goli la dk ya 15 la Tshishimbi linaipatia timu Yanga pointi tatu muhimu na moja kwa moja tukishuhudia Yanga ikipanda kileleni mwa ligi kwa pointi 83 huku wakifatiwa na Simba yenye pointi 82.
1. Yanga | mechi 36 | pointi 83
2. Simba | Mechi 33 | pointi 82
Tukutane siku nyingine panapo majaaliwa.
Asalam Aleyqum
Kumbuka vyura mmecheza mechi 36 huku Mnyama akiwa na 33ππMwenye nafasi yake karudi
wivu utakuuaHongereni Vyura FC naona Jangwani kwenu kumefurika ili mzaliane vzr!
Hongereni πΈπΈπΈ kwa kurudi kileleniKumbuka vyura mmecheza mechi 36 huku Mnyama akiwa na 33ππ
Kwani kuna bingwa wa kuchaguliwa?Simba mwaka huu nii mabingwa wa kuteuliwa.
Kwani kuna bingwa wa kuchaguliwa?