Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
- Thread starter
- #61
97' Naaaam mpira umekwishi,
goli la dk ya 15 la Tshishimbi linaipatia timu Yanga pointi tatu muhimu na moja kwa moja tukishuhudia Yanga ikipanda kileleni mwa ligi kwa pointi 83 huku wakifatiwa na Simba yenye pointi 82.
1. Yanga | mechi 36 | pointi 83
2. Simba | Mechi 33 | pointi 82
Tukutane siku nyingine panapo majaaliwa.
Asalam Aleyqum
goli la dk ya 15 la Tshishimbi linaipatia timu Yanga pointi tatu muhimu na moja kwa moja tukishuhudia Yanga ikipanda kileleni mwa ligi kwa pointi 83 huku wakifatiwa na Simba yenye pointi 82.
1. Yanga | mechi 36 | pointi 83
2. Simba | Mechi 33 | pointi 82
Tukutane siku nyingine panapo majaaliwa.
Asalam Aleyqum