Azam kwetu ni kibonde tu, focus yetu ni kushinda mechi za mkoani na kama ikitokea imeshindikana basi tutoe sareKWA MPIRA HUU MAKOLO MKIJA CHEZA NA AZAM MTAKUJA POTEANA HUMU NDANI
Kilele cha kushindwa anazungumzia 🤠🤠Kilele kipi?
Hao wamekua tishio kwao kila siku wana ref Azam aiseee wakati unaenda kasi maana walipekewa moto mpk wakababuka sisi sio kama wao Azam asubuiii anaenda kula aiskrimu na mandazi yaoAzam kwetu ni kibonde tu, focus yetu ni kushinda mechi za mkoani na kama ikitokea imeshindikana basi tutoe sare
Huyo Azam alikuwa ameimaliza ile mechi, basi tu mwamuzi alikuwa upande wenu
Kila mtu na kibonde wake kama nyie kwetuAzam kwetu ni kibonde tu, focus yetu ni kushinda mechi za mkoani na kama ikitokea imeshindikana basi tutoe sare
Huyo Azam alikuwa ameimaliza ile mechi, basi tu mwamuzi alikuwa upande wenu
Tutawafumua najua mnajua lakiniBado hamjakutana na sie Azam
Acha tuu ndugu yanguSana yani unaangalia mpira huku unatetemeka kwa pressure
Azam hajawahi kuwa threat kwetu hata wamsajili messi na mbappe bado watachapika tu, wakijitahidi sana wanapata sareHao wamekua tishio kwao kila siku wana ref Azam aiseee wakati unaenda kasi maana walipekewa moto mpk wakababuka sisi sio kama wao Azam asubuiii anaenda kula aiskrimu na mandazi yao
Si kwa haraka hii yani uko na haraka ya kuscreen shot kabla chaji haijaisha mana ka betri hapo juu kako very low kanakufaLabda kilele cha maghorofa ya nssfView attachment 2356843
Wakamfufue maradona, wamchukue na pele wa 1958-70 ndio kidooogo watajaribu jaribu. 😂Azam hajawahi kuwa threat kwetu hata wamsajili messi na mbappe bado watachapika tu, wakijitahidi sana wanapata sare
Yani kutufunga mara 2 tena kwenye mechi ambazo wachezaji muhimu wali miss ndio imekuwa wimbo?Kila mtu na kibonde wake kama nyie kwetu
Ahsante..nilitaka kumjibu kumbe tayariNenda wewe ukacheze au toa ufadhili wakasajili wachezaji toka Ulaya.
Ndiyo uwezo ulipoishia babaake tulieni tu mbona yajayo uanafurahishaLakini hili La Kushinda Jioni Simba Wanatukosea Mashabiki