Tanzania Prisons msijidanganye. Yanga siyo Simba. Wazoeeni hao hao siyo Sisi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mmejanga mazoea na Simba mnadhani na Yanga ni kama Simba. Mazoea yenu huko huko msilete kwa Yanga

Mnapolalia nyie siye ndo tulipoamkia. Wala hatuna mchecheto. Kona na njia zenu tunazifahamu. Simba mnawawezea sababu hawajui hiyo michezo.sisi siyo Team ndogo kwa taarifa yenu.

Leo tunawala Futari na Daku. Ndo mtakapojua hii ni team kubwa. Tushajua njia za kupita na tuna wenyeji wengi tu Rukwa. Msidhani sisi wageni.

Leo tunatoa kipigo. Tunatoa nini? Kipigo wazoeeni hao hao Nyau FC Siyo sisi. Mbwa nyie. Kipigo hakikwepeki. Hilo ndo mjue hakikwepeki piga Ua. Mtapigwa nami nasema mpigwe tu.
 
Nilikua sijui yanga ni mbovu sababu nilikua sifatilii mechi zao, Leo nmeona niwacheki kibanda umiza nimegundua haya

1.Yanga sio mbovu tu ila imejifia kabisa

2.Imepoteza mvuto mno sababu kwa mapengo yale kwa viwanja vya mkoani ni aibu
Matokeo yakoje?
 
Nilikua sijui yanga ni mbovu sababu nilikua sifatilii mechi zao, Leo nmeona niwacheki kibanda umiza nimegundua haya

1.Yanga sio mbovu tu ila imejifia kabisa

2.Imepoteza mvuto mno sababu kwa mapengo yale kwa viwanja vya mkoani ni aibu
Hawa Prisons tena wakiwa pungufu walimtoa Simba kamasi pale kwa Mkapa, leo ukuja kubana vipua hapa eti, Yanga imekufa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Yani kelele zote hizi ni kuingia robo fainali ya azam cup conf??? Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…