Tanzania Prisons na Singida Big Stars zafungiwa kusajili Ligi Kuu

Tanzania Prisons na Singida Big Stars zafungiwa kusajili Ligi Kuu

Simba walimchukua Kyombo lakini baadae singida wakaenda kupewa hela ili yaishe,,,

Hapo nyuma iliwahi kutokea kwa busuita alisain Simba halafu akajiunga yanga,, Utopolo wakaamuriwa wailipe Simba.

Pia Kuna usajili wa marehm jeba kutoka Azam kwenda Simba
Pia Ramadan singano toka Simba kwenda yanga..

Kuna Mubarak Yusufu toka Simba kwenda Kagera....

Kiufupi hapo Tff huwa wanaangalia upepo tu
Singano hajawqhi kuchezea yanga
 
Back
Top Bottom