Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Klabu ya Tanzania Prisons imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Fredy Felix Minziro ambaye amedumu klabuni hapo kwa muda wa miezi minne toka aliposaini Julai 14, 2023.
Minziro ameondoka klabuni hapo akiwa amekisimamia kikosi hicho kwenye michezo tisa ya NBC Premier Legue na kufanikiwa kupata ushindi mmoja, sare nne na kufungwa michezo minne.
Minziro ameondoka klabuni hapo akiwa amekisimamia kikosi hicho kwenye michezo tisa ya NBC Premier Legue na kufanikiwa kupata ushindi mmoja, sare nne na kufungwa michezo minne.