Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
- Thread starter
- #21
CD, mimi naomba unielekeze vizuri jinsi ya kufika ili niende mwenyewe nikahojiane kwa undani. Bila shaka utazingatia muda na siku wanazofanya kazi.
Kipindi hicho natoa hii post kuna vitu vilikuwa vinaendelea huko. Nasikia sasa hivi wamefunga huo mradi wa Matching Grants. Fika osisini kwao upate uhakika wa kipi kinaendelea. Ofisi zao ziko Mwaya road, Masaki.
CD