Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mo itakuwa pia outsourcing imemsaidia sana,maana sikuhizi kuna wide ranging product za Mo
from all over the world.
Ngoja nimwambia nsumba ntale Bashite tukadai Limousene,na ole wake agome,atarudi singida na kandambili tu
Dhambi ya ubaguzi haiishi, angekuwa mweusi ungedai sio wa kabila lako, akiwa wa kabila lako utasema sio wa ukoo wako, akiwa wa ukoo wako utasema sio wa familia yenu....Lkn bado ni Muhindi siyo Mtanzania mweusi kama mimi au Dangote, binafsi sioni cha kujivunia hapo!
migogoro inaweza kuwepoHivi kwa nini migogoro ya Ardhi Tanzania ni zaidi ya Kenya ambapo inadaiwa familia moja tuu inamiliki ardhi yote.
Don't beat about the bush- sera mbovu za ardhi CCM ndio tatizo.migogoro inaweza kuwepo
kwasababu kila mtanzania anahaki ya kuwa na Ardh
na Ardh ni mali ya Tanzania na Serikali
siyo mali ya mtu au Ukoo fulani
Ukitaka ardhi kenya unananunua tuWananchi wanakosa Ardhi
wenye pesa walisha jimilikisha!!
Hao wamerankiwa na Venture Africa. Forbes claims it does not rank corrupt guysForbes hawa hawaeleweki vigezo vyao hata siku moja na si vya kweli labda kuna hongo maana kiukweli Tanzania haina Matajiri kumzidi Nicolas Biwot, na wengine wa Kenya. Lakini hawa hawa waliwahi kumtoa January kwamba ni kijana mwenye influence Africa
Nani corrupt kama METL sasa utajiri wa mashamba yetu ya mkonge na viwanda vyake walivipataje hatujui, hawaendelezi wameuza vupuri mashamba ndio hayo wanatumia kama security kusecure mamikopoHao wamerankiwa na Venture Africa. Forbes claims it does not rank corrupt guys
All these guys are corrupt, but Forbes huavoid the government guys coz wameiba direct from the economy. Thats why hio list utawakosa akina Biwott, Ngina Kenyatta, Moi n.k. Pia Gadaffi was rumoured to have a huge wealth, around 200billion USD, but hangewai rankiwaNani corrupt kama METL sasa utajiri wa mashamba yetu ya mkonge na viwanda vyake walivipataje hatujui, hawaendelezi wameuza vupuri mashamba ndio hayo wanatumia kama security kusecure mamikopo
The one and only Mommur GhadafiAll these guys are corrupt, but Forbes huavoid the government guys coz wameiba direct from the economy. Thats why hio list utawakosa akina Biwott, Ngina Kenyatta, Moi n.k. Pia Gadaffi was rumoured to have a huge wealth, around 200billion USD, but hangewai rankiwa
Forbes nao wanazingua tu, kama wana avoid waliopata utajiri kwa kuiibia serikali mbona wamemweka Isabel Dos Santos kwenye list?All these guys are corrupt, but Forbes huavoid the government guys coz wameiba direct from the economy. Thats why hio list utawakosa akina Biwott, Ngina Kenyatta, Moi n.k. Pia Gadaffi was rumoured to have a huge wealth, around 200billion USD, but hangewai rankiwa
Wananchi wanakosa Ardhi
wenye pesa walisha jimilikisha!!
Wahindi wenu wa Kenya wapo wapii?Angekuwa Mkenya hamngechoka kutuambia tunamilikiwa ma Wahindi.
Wahindi wenu wa Kenya wapo wapii?Angekuwa Mkenya hamngechoka kutuambia tunamilikiwa ma Wahindi.
Wahindi wenu wa Kenya wapo wapii?
A Kenyan indian was recently controversially appointed the governer of the Indian central bank by the Modi govt. He's considered a foreigner. A Kenyan. An AfricanWahindi wenu wa Kenya wapo wapii?
Hahah si huwa mnawika wakina Manuel Chandaria na Pradeep wa BIDCO maana Kirubi is bankruptKenya hatumilikiwi na wahindi.