Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
For the record, "Waafrika Ndivyo Tulivyo" ni kitabu cha Malima Ndelema I believe, certainly Nyani Ngabu si author wa huo msemo, as despicable and smallminded as the saying is the record must be straightened.
For the record, "Waafrika Ndivyo Tulivyo" ni kitabu cha Malima Ndelema I believe, certainly Nyani Ngabu si author wa huo msemo, as despicable and smallminded as the saying is the record must be straightened.
Viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe-Field Marshall Emergency System
Freud would say racial self hate is the highest form of self loathing, low self esteem and subconcious nihilistic wussyness ever.
Sentensi yoyote inayoanza kwa kusema watu fulani wako hivi, unless inaongelea a minute group, inajifunga yenyewe kutokana na diversity ya watu. Hizo tabia zinazodaiwa kuleta feelings za "Waafrika Ndivyo Tulivyo" ziko dunia nzima, na kuna Waafrika wengine hawana tabia fulani zilizomo katika kundi hilo. Kwa hiyo at best ni some simplistic chicanery coupled with the most laughable -sad but still despicably laughable- nincompoopery you ever heard!
Freud would say racial self hate is the highest form of self loathing, low self esteem and subconcious nihilistic wussyness ever.
Sentensi yoyote inayoanza kwa kusema watu fulani wako hivi, unless inaongelea a minute group, inajifunga yenyewe kutokana na diversity ya watu. Hizo tabia zinazodaiwa kuleta feelings za "Waafrika Ndivyo Tulivyo" ziko dunia nzima, na kuna Waafrika wengine hawana tabia fulani zilizomo katika kundi hilo. Kwa hiyo at best ni some simplistic chicanery coupled with the most laughable -sad but still despicably laughable- nincompoopery you ever heard!
Umefanya nione uhusiano wa hii misemo miwili:
- Miafrika Ndivyo Tulivyo!
- Viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe
.
Acha kum quote Freud...si mzungu huyo?
M quote mbantu mwenye caliber ya Freud kwa wakati wake (Freud)....la sivyo na wewe Ndivyo Ulivyo ila uko kwenye denial hata utukaneje
You need to boost your comprehension, hakuna mtu aliyem-quote mtu yeyote hapo. Unadhihirisha kwamba baadhi ya Waafrika wako nyuma sana kiasi hawawezi kutofautisha a quote and a satirric deprecative mind cariocaturing hara-kiri!
Siwezi kushangaa miongoni wa Waafrika hawa wakifikiri kuwa "Waafrika Ndivyo Tulivyo"
Haya basi bibie acha kum invoke Freud.....umefurahi sasa?
kuna Waafrika wengine hawana tabia fulani zilizomo katika kundi hilo. Kwa hiyo at best ni some simplistic chicanery coupled with the most laughable -sad but still despicably laughable- nincompoopery you ever heard!
Umefanya nione uhusiano wa hii misemo miwili:
Miafrika Ndivyo Tulivyo!
Viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe
Umeondoa nGAYbu katika jina lakini bado mule mule, wewe sasa unadhihirisha Waafrika tunao lowlives wanaosway below the belt searching for the umentionable.
1.
2.
Wakuu Heshima zenu sana, sijaelewa vizuri exactly what are you saying, unachosema hasa ni nini kwa sababu, kwangu maneno ya Nyani, hayahitaji hayo maneno yako mazito sana ya kizungu, political facts haziwezi kuchanganywa na opinion, au self-esteem business ni vitu viwili tofauti, kwenye siasa, viongozi na wananchi kinachoamua matokeo,
Haiwezekani kwamba baada ya kashfa zote zilizoikumba serikali yetu just miaka miwili tu iliyopita, tukarudia kuwachagua chama kile kile, na viongozi wale wale, I do not care what something is wrong somewhere, sasa haiwezekani kuwa ni our political system kwa sababu ilishabadilika siku nyingi kutoka chama kimoja, na haiwezekani kuwa ni viongozi wetu ndio wabovu na sisi wananchi ni wazima, that kind of thinking is what should be laughable,
Huwezi kuji-esteem wakati realistically huna lolote to back up with hiyo high esteem, na the first step ili uweze kuji-reform ni lazima ukubali kuwa una problem ndipo quote ndivyo tulivyo inapokuwa na meaning, sasa tatizo lako lipo wapi bro?