Tanzania ranked as the most attractive investment destination in East Africa in 2017

Tanzania ranked as the most attractive investment destination in East Africa in 2017

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
The latest Africa Investment Index ranks Tanzania as the most attractive investment destination in East Africa.
The report, which was released in 2017 April by London-based Quantum Global in April, places Tanzania as the 8th most attractive investment destination in Africa while Uganda comes in at 12th and Kenya 15th.
 
For more information its down here. Thank you Magufuri. You are the man.
Screenshot_2017-06-20-11-34-00.png
Screenshot_2017-06-20-11-30-15.png
 
I don't know how to call this, but its too abstract with very few details. Kama umeamua kutuletea habari ulizozisoma kwa kina, jaribu kuongezea information kama faida za hiyo, weka madhumuni ya hizo taarifa na kwanini wanazitoa na je wamefanya fanyaje kufikia kwenye hizo conclusions. Pengine tunatakiwa tuwe nambari one.
 
I expected English speaking nation would attract FDI
 
Acha kuweweseka hizo information utolewa kuwasaidia wawekezaji. For more approved detail hii hapa. Take your time upitie kama unavyotaka
Screenshot_2017-06-20-12-51-59.png
Screenshot_2017-06-20-12-52-20.png
Screenshot_2017-06-20-12-52-52.png
Screenshot_2017-06-20-12-53-05.png
Screenshot_2017-06-20-11-34-00.png
Screenshot_2017-06-20-11-30-15.png
Screenshot_2017-06-20-12-53-20.png
I don't know how to call this, but its too abstract with very few details. Kama umeamua kutuletea habari ulizozisoma kwa kina, jaribu kuongezea information kama faida za hiyo, weka madhumuni ya hizo taarifa na kwanini wanazitoa na je wamefanya fanyaje kufikia kwenye hizo conclusions. Pengine tunatakiwa tuwe nambari one.
 
Ukimaliza kupitia hiyo detailed information toa povu jingine. Am waiting
I don't know how to call this, but its too abstract with very few details. Kama umeamua kutuletea habari ulizozisoma kwa kina, jaribu kuongezea information kama faida za hiyo, weka madhumuni ya hizo taarifa na kwanini wanazitoa na je wamefanya fanyaje kufikia kwenye hizo conclusions. Pengine tunatakiwa tuwe nambari one.
 
Habar kama hizi zinawauma sana northern brothers
 
Tuko 2016 ama 2017
Usipende kukurupuka. Wamefanya research ya miaka mitatu wakaja kutoa research 2017. Hivi unaweza kusanya research ya investment ndani ya mwaka mmoja ukaileta??. Situnakuwa tumeingia mwaka mwingine.??Be serious.
 
Ujue hata mwanamke ambaye si mzuri sana lakini anayepewa matunzo mazuri na vipodozi anaweza kuvutia kuliko mwanamke mzuri sana ambaye hapewi matunzo wala vipodozi.
 
Habari ya 2016 mnatuletea sai?????? Mkue serious saa zingine
Tatizo lako usomi unakulupuka. Wamefanya research ya miaka mitatu in three years. Wameikusanya pamoja ndowakaleta matokeo in 2017. Ina maana matokeo ya 2017 watatoa tena ndani ya 2021report. Umeelewa au tukuludishe shule??
 
Ujue hata mwanamke ambaye si mzuri sana lakini anayepewa matunzo mazuri na vipodozi anaweza kuvutia kuliko mwanamke mzuri sana ambaye hapewi matunzo wala vipodozi.
Kwajinsi na mifano yako utakuwa unapenda sana umalaya na una pepo la ngono. Wanawake humu wametoka wapi.
 
Kwajinsi na mifano yako utakuwa unapenda sana umalaya na una pepo la ngono. Wanawake humu wametoka wapi.
Anayeona mwanamke ni mfano wa umalaya na ngono ndiye mwenye pepo la umalaya na ngono.

Kwangu mimi wanawake ni mama zangu, dada zangu ndugu zangu etc.

Kama hujaelewa mfano, uliza.

Siwezi kutoa mfano wa quantum physics na Kaluza-Klein manifold hapa kwa kuwa sina uhakika wengi wataelewa.

Nimetoa mfano wa mwanamke kwa sababu watu wote watauelewa.

Nchi ikiwa inavutia sana kwa kuwekeza vitegauchumi inaweza kupitwa na nchi ambayo haivutii sana katika kuvutia vitegauchumi, kwa sababu za jinsi wenye nchi wanavyojua kutumia fursa zao walizopewa kuvutia vitega uchumi.

Mfano, Kenya haina vivutio sana vya vitegauchumi, lakini inaishinda Tanzania yenye vivutio zaidi kwa sababu wenzetu wanajua kutumia vivutio vyao vichache.

Vivyo hivyo, hata mwanamke ambaye si mzuri sana lakini anayepewa matunzo mazuri na vipodozi anaweza kuvutia kuliko mwanamke mzuri sana ambaye hapewi matunzo wala vipodozi.

Sielewi hapo mtu mwenye akili zake timamuanaonaje umalaya.

Wewe ni Taliban, ISIS au Al-Qaeda?
 
Back
Top Bottom