Tanzania ranked as the most attractive investment destination in East Africa in 2017

Tanzania ranked as the most attractive investment destination in East Africa in 2017

Tatizo lako usomi unakulupuka. Wamefanya research ya miaka mitatu in three years. Wameikusanya pamoja ndowakaleta matokeo in 2017. Ina maana matokeo ya 2017 watatoa tena ndani ya 2021report. Umeelewa au tukuludishe shule??
Investor akitaka kuinvest sai anatumia data za 2016....wewe usinionyeshe ujinga wapi za 2017 hapo...
My friend huwezi nidanganya vitu sensitive kama investment unatumia the current market trend sio 2016....
 
Umekosea ni northern sisters[emoji6]
Yhaaak! Some forks. You don't need to have a look at them physically. It's the tosh that they spitt that helps you read through and even beyond their oblangata and understand the kind of blokes they are.
 
Hivo hii report imeongelea vitega uchumi?? Unajua kuwa mwanzo Uganda na Kenya walikua wanaongoza. Nenda Tanzania Investment wakusaidie zaidi juu yahi report. Hapa awajaangalia vitegauchumi. I some kwanza usikulupuke.
Anayeona mwanamke ni mfano wa umalaya na ngono ndiye mwenye pepo la umalaya na ngono.

Kwangu mimi wanawake ni mama zangu, dada zangu ndugu zangu etc.

Kama hujaelewa mfano, uliza.

Siwezi kutoa mfano wa quantum physics na Kaluza-Klein manifold hapa kwa kuwa sina uhakika wengi wataelewa.

Nimetoa mfano wa mwanamke kwa sababu watu wote watauelewa.

Nchi ikiwa inavutia sana kwa kuwekeza vitegauchumi inaweza kupitwa na nchi ambayo haivutii sana katika kuvutia vitegauchumi, kwa sababu za jinsi wenye nchi wanavyojua kutumia fursa zao walizopewa kuvutia vitega uchumi.

Mfano, Kenya haina vivutio sana vya vitegauchumi, lakini inaishinda Tanzania yenye vivutio zaidi kwa sababu wenzetu wanajua kutumia vivutio vyao vichache.

Vivyo hivyo, hata mwanamke ambaye si mzuri sana lakini anayepewa matunzo mazuri na vipodozi anaweza kuvutia kuliko mwanamke mzuri sana ambaye hapewi matunzo wala vipodozi.

Sielewi hapo mtu mwenye akili zake timamuanaonaje umalaya.

Wewe ni Taliban, ISIS au Al-Qaeda?
 
Habar kama hizi zinawauma sana northern brothers

Haiwezi kutuuma maana hamna jipya hapo kwanza mlifaa kuwa namba moja maana mna kila aina ya raslimali zinazofaa kuwavutia wawekezaji.
Hapo kuwa namba nane ina maana bado sana. Kumbuka siku zote mnaongoza FDI hapa EAC yaani hizo raslimali zenu zingekua chini ya wachapa kazi wazalendo, leo hamgekua mnatajwa ndani ya mataifa maskini Africa.
 
Wewe achaushamba nakukurupuka. Hawapimi hizi data kwakuangalia rasilimali. Kumbuka mwanzo Kenya na Uganda mlikuwa juu. Hapo wanaangalia Gharama zakuwekeza. Uharaka wakupata document zauwekezaji. Kodi na gharama zakulipa muwekezaji. Gharama za logistic. Securrty ya muwekezaji. Mazingira na sehemu walizotengewa wawekezaji. Uwingi wa wawekezaji wanaoingia nchini.Swala la rasilimali hapa alitumiki kama kigezo hats kidogo
Haiwezi kutuuma maana hamna jipya hapo kwanza mlifaa kuwa namba moja maana mna kila aina ya raslimali zinazofaa kuwavutia wawekezaji.
Hapo kuwa namba nane ina maana bado sana. Kumbuka siku zote mnaongoza FDI hapa EAC yaani hizo raslimali zenu zingekua chini ya wachapa kazi wazalendo, leo hamgekua mnatajwa ndani ya mataifa maskini Africa.
 
Hivo hii report imeongelea vitega uchumi?? Unajua kuwa mwanzo Uganda na Kenya walikua wanaongoza. Nenda Tanzania Investment wakusaidie zaidi juu yahi report. Hapa awajaangalia vitegauchumi. I some kwanza usikulupuke.
Wewe leta 2017 na uache kutubeba ufala
 
Alger
Haiwezi kutuuma maana hamna jipya hapo kwanza mlifaa kuwa namba moja maana mna kila aina ya raslimali zinazofaa kuwavutia wawekezaji.
Hapo kuwa namba nane ina maana bado sana. Kumbuka siku zote mnaongoza FDI hapa EAC yaani hizo raslimali zenu zingekua chini ya wachapa kazi wazalendo, leo hamgekua mnatajwa ndani ya mataifa maskini Africa.
Algeria wapi number mbili. Unatoka kuniambia wana rasilimali kuliko Tanzania?? Uganda wanawazidi mwenye hi report. Mnataja kusema wana rasilimali kuliko nie Kenya?? Tena wapi nafasi ya 12 nie Kenya ya 15. Hapa niswala nchi kama nchi imejipanga je kuweka mszingira mazuri kwaajili ya wawekezaji
 
Wewe achaushamba nakukurupuka. Hawapimi hizi data kwakuangalia rasilimali. Kumbuka mwanzo Kenya na Uganda mlikuwa juu. Hapo wanaangalia Gharama zakuwekeza. Uharaka wakupata document zauwekezaji. Kodi na gharama zakulipa muwekezaji. Gharama za logistic. Securrty ya muwekezaji. Mazingira na sehemu walizotengewa wawekezaji. Uwingi wa wawekezaji wanaoingia nchini.Swala la rasilimali hapa alitumiki kama kigezo hats kidogo

Unapoleta mada usiwe wa kwanza kuitetea kwa povu, naona unavyohangaika kumjibu kila mtu anayethubutu kuhoji, unatiririka matusi. Taarifa kama hii inataka ujuzi na uelewa wa masuala ya uchumi na sio huo utumbo unaobwabwaja humu.

Inafaa ikuingie kwamba Tanzania inavutia uwekezaji kwa ajili ya raslimali zake, kwamba mumegundua gesi, halafu nyie mpo kwenye orodha ya top gold producers na madini mengine yakiwemo makinikia hehehe. Japo mnaliwa sana....

Leo hii top FDI sources wenu ni Uingereza kwa asilimia 23%, halafu Kenya tupo humo hata chuki zenu.

Likija kwenye suala la 'Ease of doing business' ambayo ranking yake Kenya imeizidi Tanzania kwa mbali. Mara ya mwisho Tanzania ilikua kwenye nafasi ya 132 wakati Kenya ikiwa namba 92 duniani. Nyie bado sana maana hata uzalishaji wa umeme mpo nyuma yetu, hapo kwenu kutwa mgao wa umeme. Tungekua na raslimali kama zenu mngesoma namba.

Hii ripoti ya 'Ease of doing business' hutolewa na Banki kuu ya dunia na huangalia vigezo kama

Skilled workforce
Starting a business
Dealing with construction permits
Getting electricity
Registering property
Getting credit
Protecting minority investors
Paying taxes
Resolving insolvency
Enforcing contracts
Trading across borders
Growing middle class
 
Wewe achauwongo juzi kati ndugu yangu alikuwa Nairobi. Kaniaambia mnamgao wa umeme balaaa. Usiongole hill swala kwakuwa atuliongelie. Pia hata
98cd99aaac83ae6cd559f0287c813424.jpg
 
Kwa hiyo utaki nijibu ukweli.?? Sindano zinazidi kuwaingia. Nairobi kuna mgao balaa wakati sisi huku umeisha. Ndugu yagu alikuwa Nairobi last week. Acha kujitutupia sisi hiyo shida ya umeme. Au wewe makazi yako sio Nairobi? Taratibu sindano zinawaingia
98cd99aaac83ae6cd559f0287c813424.jpg
Haiwezi kutuuma maana hamna jipya hapo kwanza mlifaa kuwa namba moja maana mna kila aina ya raslimali zinazofaa kuwavutia wawekezaji.
Hapo kuwa namba nane ina maana bado sana. Kumbuka siku zote mnaongoza FDI hapa EAC yaani hizo raslimali zenu zingekua chini ya wachapa kazi wazalendo, leo hamgekua mnatajwa ndani ya mataifa maskini Africa.
 
Haiwezi kutuuma maana hamna jipya hapo kwanza mlifaa kuwa namba moja maana mna kila aina ya raslimali zinazofaa kuwavutia wawekezaji.
Hapo kuwa namba nane ina maana bado sana. Kumbuka siku zote mnaongoza FDI hapa EAC yaani hizo raslimali zenu zingekua chini ya wachapa kazi wazalendo, leo hamgekua mnatajwa ndani ya mataifa maskini Africa.
Mwenzio tayar kasema imewauma na wanaomba serikali itoe tamko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwenzio tayar kasema imewauma na wanaomba serikali itoe tamko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mimi nimemjibu kitaalam yeye amekimbilia mapicha ya kwenye blogs. Amedhirisha uelewa wake mdogo kwenye taarifa alizozileta.
Mada kama hizi huwa tamu sana kuzijadili maana zinaelimisha hata wanaopita kimya, lakini tatizo ni pale mleta mada anakua na mahaba fulani na ushabiki shabiki huku akiwatusi wachangiaji, inabidi anaachiwa uzi wake aendelee kutiririka mwenyewe.
 
Niwapi umejibu kitaalumu. Soma kwanza report yenyewe alafu ndouje utoe hizo pumba. Soma hiyo report. Ata mambo ya ease of business yapo included ndani ya report. Usitake kubeza kitu hapa.Kwa kutumia hii report wawekezaji waliokuwa hapa Tanzania walikua wakiwekeza na Uganda kipindi Uganda inaongoza kwa kutumia hii report. Nipe vigezo wanavyo tumia mwenye ease of doing business
Mimi nimemjibu kitaalam yeye amekimbilia mapicha ya kwenye blogs. Amedhirisha uelewa wake mdogo kwenye taarifa alizozileta.
Mada kama hizi huwa tamu sana kuzijadili maana zinaelimisha hata wanaopita kimya, lakini tatizo ni pale mleta mada anakua na mahaba fulani na ushabiki shabiki huku akiwatusi wachangiaji, inabidi anaachiwa uzi wake aendelee kutiririka mwenyewe.
 
Back
Top Bottom