Tanzania records highest number of new Covid19 cases second day in a row as 53 people test positive

Tanzania records highest number of new Covid19 cases second day in a row as 53 people test positive

I love how we make Kenyans fell good. Hawajui nini tunafanya hahahahah..
Wangejua duuu kweli tz noma lets this keep going we have our course to do this hahahah...
#always we know.. And take advantage of it. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Nini mnakifanya zaidi hakifanywi na taifa lolote dunia hii, mlikua mumeshindwa kupima na kujitetea eti hamtaki mpime...sijui na vjisababu vingine lukuki huku mkituchekelea sisi tunaopima wengi, leo mumeshtuka na kuongeza kupima na kwa mpigo mnapata waathirika 53 ndani ya masaa 24

Sisi sasa hivi tunapima watu 800 na kupata waathirika 6
Tuliwaambia suluhu ni kupima kupima kupima, mkawa mnakaidi na kubeza mataifa yanayopima, tatizo uwezo wenu wa kufikiri huwa uko slow sana.
Na hili la kuchukua tahadhari nina uhakika mtafanya ila baada ya kuchelewa kama ilivyo kawaida yenu.
 
Hahahah, akili zenu aliondoka nazo mkoloni.
Nini mnakifanya zaidi hakifanywi na taifa lolote dunia hii, mlikua mumeshindwa kupima na kujitetea eti hamtaki mpime...sijui na vjisababu vingine lukuki huku mkituchekelea sisi tunaopima wengi, leo mumeshtuka na kuongeza kupima na kwa mpigo mnapata waathirika 53 ndani ya masaa 24

Sisi sasa hivi tunapima watu 800 na kupata waathirika 6
Tuliwaambia suluhu ni kupima kupima kupima, mkawa mnakaidi na kubeza mataifa yanayopima, tatizo uwezo wenu wa kufikiri huwa uko slow sana.
Na hili la kuchukua tahadhari nina uhakika mtafanya ila baada ya kuchelewa kama ilivyo kawaida yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We genuinely care about Tanzania, but Tanzanians are adamant to never take any advice from Kenya.
LOL how could a paralyzed brain like yours which doesn't believe in 21st century there's probability of shipping perishables via sea, genuinely care about Tanzania?
😅😅😅😅 We don't want that care

Lunatic get lost in slums
 
I love how we make Kenyans fell good. Hawajui nini tunafanya hahahahah..
Wangejua duuu kweli tz noma lets this keep going we have our course to do this hahahah...
#always we know.. And take advantage of it. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
You have been saying that since 1967, half a century later you are still saying the same thing.
 
LOL how could a paralyzed brain like yours which doesn't believe in 21st century there's probability of shipping perishables via sea, genuinely care about Tanzania?
😅😅😅😅 We don't want that care

Lunatic get lost in slums
Dude don't you see you are embarrassing yourself! Transporting fresh produce from Mombasa to europe by sea!!! Are you insane? It will not be fresh produce anymore.
Learn to think and talk like a man, not a postmenopausal woman with a learning disorder.
 
Wanadhani Tanzania hawapimi wala kuchukua hatua zozote zaidi ya kuwahimiza wananchi wasali tu 😂😂😂
Akili zao aliondoka nazo mkoloni.
You are not doing anything let us be honest. Your superstitions are still alive and well like during the maji maji rebellion. You are putting your neighbors at risk.
Tanzania has been and will always be the slow kid of east africa community.
 
Dude don't you see you are embarrassing yourself! Transporting fresh produce from Mombasa to europe by sea!!! Are you insane? It will not be fresh produce anymore.
Learn to think and talk like a man, not a postmenopausal woman with a learning disorder.
bastard goon, read the map idiot

Middle Eastern is in Arabic world not Europe,
Bro are you human or cow?
Your foolishness is out of jupiter
 
You are not doing anything let us be honest. Your superstitions are still alive and well like during the maji maji rebellion. You are putting your neighbors at risk.
Tanzania has been and will always be the slow kid of east africa community.
How could you understand that it's possible to transport perishables through the sea if you don't have any idea where the middle east positioned on the map 🗺️😅😅😅
 
Ndio wale wale naona wanajaribu kubadilisha mada ya uzi huu. Niliwaonya hawa wapumbavu ambao walikuwa wanafungua nyuzi zaidi ya hamsini humu. Wakiwakejeli wakenya na kusema eti scoreboard sijui Kenya 90 Tz 32. Wabongo itabidi mboreshe sekta yenu ya elimu, maanake inachomoa mambumbumbu kila uchao wenye akili za kipuuzi ambazo hutaziona sehemu yeyote nyingine duniani.
 
Nini mnakifanya zaidi hakifanywi na taifa lolote dunia hii, mlikua mumeshindwa kupima na kujitetea eti hamtaki mpime...sijui na vjisababu vingine lukuki huku mkituchekelea sisi tunaopima wengi, leo mumeshtuka na kuongeza kupima na kwa mpigo mnapata waathirika 53 ndani ya masaa 24

Sisi sasa hivi tunapima watu 800 na kupata waathirika 6
Tuliwaambia suluhu ni kupima kupima kupima, mkawa mnakaidi na kubeza mataifa yanayopima, tatizo uwezo wenu wa kufikiri huwa uko slow sana.
Na hili la kuchukua tahadhari nina uhakika mtafanya ila baada ya kuchelewa kama ilivyo kawaida yenu.
Narudia Kenya hamwezi kujua nn tunafanya..
Just Ka na hiyo fact afu kuhusu hiyo corona hahahah hapo ndo napocheka na kujua kua njie bure kabsa..
Tufanye hivii!!! Nyie fanyen yenu afu mtuache sisi tufanye yetu..tutakutana wa mwez wa sita afu mtapima na kujionea...
Siongei kingne zaidi... TCHAOO... [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wale wale naona wanajaribu kubadilisha mada ya uzi huu. Niliwaonya hawa wapumbavu ambao walikuwa wanafungua nyuzi zaidi ya hamsini humu. Wakiwakejeli wakenya na kusema eti scoreboard sijui Kenya 90 Tz 32. Wabongo itabidi mboreshe sekta yenu ya elimu, maanake inachomoa mambumbumbu kila uchao wenye akili za kipuuzi ambazo hutaziona sehemu yeyote nyingine duniani.
wapi wale walokuwa wakishangilia na kurukaruka baada ya kuleta scoreboard hapa kila siku?
 
Narudia Kenya hamwezi kujua nn tunafanya..
Just Ka na hiyo fact afu kuhusu hiyo corona hahahah hapo ndo napocheka na kujua kua njie bure kabsa..
Tufanye hivii!!! Nyie fanyen yenu afu mtuache sisi tufanye yetu..tutakutana wa mwez wa sita afu mtapima na kujionea...
Siongei kingne zaidi... TCHAOO... [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Nchi maskini kama yenu haina chochote mnachoweza kufanya cha maana zaidi ya wengine, nyie ni kama Burundi...mpo mpo tu siku ziende.
Nafurahi kuona mumeanza kuamka, kuna DC wenu anazunguka akitakasa mikono ya wanywaji wa beer kwenye vilabu, japo ni ujuha lakini taratbu hayo mabaa mtayafunga akili zikiwakua, inabidi tuwavumilie maana uwezo wenu wa kuelewa masuala muhimu huwa mdogo sana.
 
Magufuli hapendi ukweli
Screenshot_20200418-134329.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom