[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]... Wabongo sisi ni noma uzalendo wetu ni wa kuigwa... Sema tujihadhari sana pamoja na kwamba hatujashikiwa fimbo kama wenzetu tuwe makini.Enlighten me how does the Lockdown which start at 7pm help to curb the spread of Covid-19? Have kenyan scientists discovered that the virus is Nocturnal?
Sent From Galaxy S9
That is a president of a country.
These are the same Kinjeketile ngwale and his ridiculous magic potion disciples
Ukweli bro. Tanzanians kwa hii section ni wajinga kupindukia. Na the sad thing ni eti hawajui wao ni wajinga so huezi mwambia kitu askize. Yani Hadi kujadili ni shida.Ndio wale wale naona wanajaribu kubadilisha mada ya uzi huu. Niliwaonya hawa wapumbavu ambao walikuwa wanafungua nyuzi zaidi ya hamsini humu. Wakiwakejeli wakenya na kusema eti scoreboard sijui Kenya 90 Tz 32. Wabongo itabidi mboreshe sekta yenu ya elimu, maanake inachomoa mambumbumbu kila uchao wenye akili za kipuuzi ambazo hutaziona sehemu yeyote nyingine duniani.
Hahaha... eti timing was wrong, UnaUtani wa ngumi wewe!!Hell no Brother... Kinjekitile Ngwale was right, But the problem was that "by the time they were calling out Maji the bullet was already in the body... So it turned into water while it was already in..!" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
May be the timing of the caller was wrong... But Kinjekitile was right![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya wana obsession na Tanzania.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]... Wabongo sisi ni noma uzalendo wetu ni wa kuigwa... Sema tujihadhari sana pamoja na kwamba hatujashikiwa fimbo kama wenzetu tuwe makini.
Corona IPO... Na inaua, Marekani miezi kadhaa nyuma hawakujua kama watakuja kupata mass graves.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha... eti timing was wrong, UnaUtani wa ngumi wewe!!
Hivi tuwaulize kwanza kama wale nzige waliwamaliza... Isije kuwa wanakuja kutupumzikia hukuWakenya wana obsession na Tanzania.
Sent From Galaxy S9
@pingli-nywee unakumbuka hii post yako, ninadhani sasa hivi umeshapata akili kwamba Kenya haiwezi shindana na TanzaniaNdio wale wale naona wanajaribu kubadilisha mada ya uzi huu. Niliwaonya hawa wapumbavu ambao walikuwa wanafungua nyuzi zaidi ya hamsini humu. Wakiwakejeli wakenya na kusema eti scoreboard sijui Kenya 90 Tz 32. Wabongo itabidi mboreshe sekta yenu ya elimu, maanake inachomoa mambumbumbu kila uchao wenye akili za kipuuzi ambazo hutaziona sehemu yeyote nyingine duniani.
The best 007 Pitia comments za kwenye huu uzi uone namna wakunya walivyo wakumbaf.