Tanzania records the largest drop in trade with EAC partners

Vitunguu Bila Wakenya vyaoza, Mahindi bila wao bei unaiona sasa
Kaka tunazungumza vitu tofauti sana, wewe unazungumzia katika level ya watu mmoja mmoja wakati serikali inazungumzia katika National level, hebu niambie vitunguu vinachangia kiasi gani katika pato la taifa?, mwisho utasema biashara ya mikungu ya ndizi na kuku wanaovushwa huko mipakani, hiyo biashara ya vitunguu wala serikali hizi mbili haijui ni kiasi gani inachangia katika pato la taifa, ni ndogo mno kuumiza vichwa vyetu.

Kuhusu mahindi, Kenya sio mnunuzi mkuu wa mahindi ya Tanzania, japo Kenya anategemea sana mahindi toka Tanzania, kumbuka mikoa inayozalisha mahindi kwa wingi Tanzania ipo kusini mwa Tanzania, mahindi mengi yanavuka mipaka ya nchi za kusini kama DRC, Malawi, Zambia, Msumbiji na zimbabwe, bei inashuka kama serikali inapiga marufuku kusafirisha chakula nje ya nchi, hasa nchi za kusini na DRC lakini sio Kenya
 
Ni kweli leval tofaiti kwakuwa Mimi nafanya biashara ya kimataifa wewe unategemea kupewa Lumumba.

Serekali ina shamba au inabiashara gani ya kufanya na Kenya zaidi ya wananchi.
 
Kuna ujinga mahali.

Asilimia ya kushuka ipo sawa na Uganda ila mleta uzi kwa kutaka wachangiaji kaiandika Tanzania.

Mleta uzi avatar yake imekaa kama ana hamu na malumbano hivi.

Halafu nikiwa kama mwananchi wa kawaida sijaona upoteaji wa bidhaa kuanzia asilimia zilivyokua hazijashuka mpaka leo zimeshuka.

So GFY
 
The decline, according to the report dated August 2017, was mainly due to a 33 per cent drop in total trade for Tanzania to $851.3 million, from $1.3 billion in 2015. The total trade for Kenya and Uganda fell by 10.1 per cent and 11.4 per cent respectively.

You GFY!
 
Sorry man but still GFY
 
Ni kweli leval tofaiti kwakuwa Mimi nafanya biashara ya kimataifa wewe unategemea kupewa Lumumba.

Serekali ina shamba au inabiashara gani ya kufanya na Kenya zaidi ya wananchi.
Hongera kwa kufanya biashara ya kimataifa ya kupeleka vitunguu Kenya na mayai ya kuku, huwezi kufanya biashara yoyote ya maana wewe kwa akili ndogo ulizonazo
 
Hongera kwa kufanya biashara ya kimataifa ya kupeleka vitunguu Kenya na mayai ya kuku, huwezi kufanya biashara yoyote ya maana wewe kwa akili ndogo ulizonazo
Wewe unadhani ushoga ndio unalipa zaidi?
 
Utazidi kunyonya dudu na kuliwa tigo hapo lumumba na Mtaona joto ya jiwe kweli sisi tushapewa kibali na Rais mwenye akili kubwa kuhamia Kenya kabisa kibiashara.
Kwasababu Mombasa ni wateja wazuri wa maliwato, ndiyo sababu unafurahia kuachiwa uende kufanya biashara bila bughudha, ila utauza zana biashara yako hiyo, kila la kheri.
 
Kwasababu Mombasa ni wateja wazuri wa maliwato, ndiyo sababu unafurahia kuachiwa uende kufanya biashara bila bughudha, ila utauza zana biashara yako hiyo, kila la kheri.
Kubwa linabaki tunaitaka sana Kenya kwenye Biashara zetu
 
Ni upuuzi kununua Jam Kenya wakati ndani ya lisaaa unaweza kuitengeneza.

Mwandishi anasahau Tanzania na Uganda inajenga bomba kubwa la kusafirisha mafuta.

....Tumewahi kuwa na Tazama pipeline, tukajenga bomba la gesi from Songosongo then likaja la Mtwara....Ni nini hasa kipya tunakitaraji from bomba la mafuta la watu wa Uganda?
 
Kubwa linabaki tunaitaka sana Kenya kwenye Biashara zetu
Kenya inaitaka zaidi Tanzania kama nilivyokuambia kwamba, Tanzania ni kiunganishi cha block kubwa mbili za biashara SADC ambayo ina soko kubwa zaidi ya mara kumi ya EAC, Kenya inategemea zaidi EAC na Tanzania ni nchi Muhimu kuliko zote katika EAC, pia Kenya inaitegemea Tanzania kupitisha bidhaa zake kufikia nchi za SADC
 
Hatuhitaji kufanya biashara na kenya. Bidhaa zenu kaeni nazo zitawaozea. Internal business inatutosha. Tuna import toka china, Thailand, india siyo kenya wanaotuletea vifaranga vyenye mafua ya ndege.

.....Utakuwa ni lofa sana wewee na unachokiongea wala hukijui umekalia politic tuu badala ya uhalisia.
 
.....Utakuwa ni lofa sana wewee na unachokiongea wala hukijui umekalia politic tuu badala ya uhalisia.
Annael ni kituko aisee ..., ccm ndio baba yake na mama yake ..., na magu ndio mungu wao ..

Watu wote wanaopata vimishahara na viposho posho vyao kuishi , kupitia KODI zetu..., hawatumiagi akili zao kufikiri sawasawa kuhusu kipato na uchumi wa nchi ... !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…