chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Comoros ambayo ni kama mkoa wa Tanzania tu umeiweka wapi?Hii Sio kweli Mzee baba. Tanzania inapakana na nchi zifuatazo:
1.Kenya
2.Uganda
3.Rwanda
4. Burundi
5. Msumbiji
6. Malawi
7.DRC
8.Zambia.
Ukiondoa Kenya,Tunabaki na Nchi 7 TU.
1.Burundi.....Failed state.
2.DRC........Failed state
3.Msumbiji....Failed State.
Zilizobaki ambazo ni 4 ndio ambazo walau tunaweza kufanya nao biashara.
Hujui hata maana ya service economy, hamna bank yoyote Kenya inayoweza kufinance mradi wa dollars million 100 tu.Wabongo ambao hawaelewi structure ya uchumi wa Kenya someni hii article. Uchumi wa Kenya upo built around services industry hususan banks. Benki za Kenya ndio benki kubwa ukanda wote huu na ndio zinazoservice companies ukanda huu. Equity sasa hivi ni the second beggest bank in DR Congo na wanatengeneza faida kubwa sana huko.
MWANGI: Why I believe Congo will drive Equity group’s growth
Last year, the biggest growth came from DRC, both in profit and in balance sheet, exceeding 50 percent in both.www.theeastafrican.co.ke
Wabongo ambao hawaelewi structure ya uchumi wa Kenya someni hii article. Uchumi wa Kenya upo built around services industry hususan banks. Benki za Kenya ndio benki kubwa ukanda wote huu na ndio zinazoservice companies ukanda huu. Equity sasa hivi ni the second beggest bank in DR Congo na wanatengeneza faida kubwa sana huko.
MWANGI: Why I believe Congo will drive Equity group’s growth
Last year, the biggest growth came from DRC, both in profit and in balance sheet, exceeding 50 percent in both.www.theeastafrican.co.ke
Hujui hata maana ya service economy, hamna bank yoyote Kenya inayoweza kufinance mradi wa dollars million 100 tu.
Bado banks zenu ni microfinance banks na hazijaajiri hata 1% ya Wakenya
Kenya not yet Uhuru(Jaramogi Odinga)Kenya imepata uhuru?
Service industry ni backbone ya uchumi wetu. Service industry ni zaidi ya 50% ya uchumi wetu. Unashangaza sana. Unazungumza kuhusu madini gani ilhali sisi hatuna madini. Kilimo gani na nchi yetu karibu yote ni jangwa? Hueleweki wakati mwingine. Cha kwanza elewa kwamba Kenya hatujabarikiwa na ardhi nyingi yenye rutuba wala mvua kwa wingi. Maeneo ya magharibi na ya kati pekee ndio huwa yanapokea mvua nyingi. Maeneo ya kaskazini na mashariki hayapati mvua. Jifunze kuhusu Kenya kwanza ndio uje kucomment. Halafu madini gani hayo unazungumzia ambayo ni sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya?What is the contribution of Bank sector/Service sector to your Economy?, Hata China bado haijafikia kwenye "Service based Economy" bado ipo kwenye "Industry/manufacturing based Economy"
Kenya na nchi zote za Africa zipo kwenye uchumi wa kilimo, zinajitahidi kuingia katika uchumi wa viwanda, japo Utalii, mining na Manufacturing pia zinaingiza pesa, lakini bado hazijawa "back bone of our economies".
Wacha ujinga wewe. Unaropokwa ujinga tu.Hujui hata maana ya service economy, hamna bank yoyote Kenya inayoweza kufinance mradi wa dollars million 100 tu.
Bado banks zenu ni microfinance banks na hazijaajiri hata 1% ya Wakenya
Hata sisi tuna bank DRC tena nyie bank iliyoko DRC ni ya mtu binafisi iyo Equity sasa unabrag nn wakati sisi bank iliyoko DRC ni bank ya CRDB ambayo ni ya serekali ya Tanzania. See the difference usikurupuke Kama umepgwa na kitu kizito kichwani[emoji38][emoji38][emoji38]Wabongo ambao hawaelewi structure ya uchumi wa Kenya someni hii article. Uchumi wa Kenya upo built around services industry hususan banks. Benki za Kenya ndio benki kubwa ukanda wote huu na ndio zinazoservice companies ukanda huu. Equity sasa hivi ni the second beggest bank in DR Congo na wanatengeneza faida kubwa sana huko.
MWANGI: Why I believe Congo will drive Equity group’s growth
Last year, the biggest growth came from DRC, both in profit and in balance sheet, exceeding 50 percent in both.www.theeastafrican.co.ke
Unashangaza sana. Kwa hivyo service sector ni asilimia ngapi ya uchumi wa Kenya? Hebu wewe tujuze kwa maana unasema mimi sielewi.Hili tulishatoa elimu kipindi kifupi kilichopita. Usirudie kuongea ongea vitu ambavyo huvijui. Tukiongelea tertiary level of economy kwa Afrika tuna nchi moja ama mbili tu.
Leta evidence. Leta masomo. Mimi nipo tayari. Wivu wenu hautawasaidia kwenye hili debate.Nadhani unakumbuka mlevi mmoja alikuwa anapayuka payuka humu, eti kenya ni service based (tertiary level) economy. Tulimshushia vitu kizito akazimika. Hajawahi kuja tena na tabia ile ya kubwabwaja vitu ambavyo hawavijui.
Equity bank ni ya pili kwa ukubwa Drc. Bank yenu hata haipo top 5. Usibwabwaje tu.Hata sisi tuna bank DRC tena nyie bank iliyoko DRC ni ya mtu binafisi iyo Equity sasa unabrag nn wakati sisi bank iliyoko DRC ni bank ya CRDB ambayo ni ya serekali ya Tanzania. See the difference usikurupuke Kama umepgwa na kitu kizito kichwani[emoji38][emoji38][emoji38]
Nioneshe mradi mmoja wa zaidi ya million 50 dollars bank yenu imefinance na mimi nitakuonesha Tanzania banks financial services on multimillion dollars projectsWacha ujinga wewe. Unaropokwa ujinga tu.
Nilikua ninazungumzia nchi za Afrika kwa ujumla, Je Tanzania tunaweza kusema uchumi wetu ni "Service based" kwasababu Utalii unaingiza pesa nyingi?, au tunaweza kusema ni Explorative kwasababu tunachimba madini mengi?.Service industry ni backbone ya uchumi wetu. Service industry ni zaidi ya 50% ya uchumi wetu. Unashangaza sana. Unazungumza kuhusu madini gani ilhali sisi hatuna madini. Kilimo gani na nchi yetu karibu yote ni jangwa? Hueleweki wakati mwingine. Cha kwanza elewa kwamba Kenya hatujabarikiwa na ardhi nyingi yenye rutuba wala mvua kwa wingi. Maeneo ya magharibi na ya kati pekee ndio huwa yanapokea mvua nyingi. Maeneo ya kaskazini na mashariki hayapati mvua. Jifunze kuhusu Kenya kwanza ndio uje kucomment. Halafu madini gani hayo unazungumzia ambayo ni sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya?
Wewe ndio ulipaswa kutuambia, mchango wa service sector interms of job creation and GDP contribution vs Agriculture sector, weka data wacha maneno matupuUnashangaza sana. Kwa hivyo service sector ni asilimia ngapi ya uchumi wa Kenya? Hebu wewe tujuze kwa maana unasema mimi sielewi.
Support your words by using reliable data pleaseEquity bank ni ya pili kwa ukubwa Drc. Bank yenu hata haipo top 5. Usibwabwaje tu.
Soma hii article yote. Absa Kenya iliipa East African Breweries mkopo wa ksh 11 billion yaani $100 million.Nioneshe mradi mmoja wa zaidi ya million 50 dollars bank yenu imefinance na mimi nitakuonesha Tanzania banks financial services on multimillion dollars projects
Mimi huwa sikurupukii. Na mimi huwa ninashinda nikichambua data za uchumi wa Kenya kila wakati. Nipe one hour nifike nyumbani, nakupatia data uliyoitisha sasa hivi. Halafu kujibu tu swali lako, ndio tourism sector pia ni part of service industry. Service industry ni neno la jumla na ndani yake kuna sub-sectors kama vile tourism, finance e.t.c. Narudi saa hii na dataNilikua ninazungumzia nchi za Afrika kwa ujumla, Je Tanzania tunaweza kusema uchumi wetu ni "Service based" kwasababu Utalii unaingiza pesa nyingi?, au tunaweza kusema ni Explorative kwasababu tunachimba madini mengi?.
Tunaomba data kuonyesha service industry ya Kenya imeajiri wakenya wangapi na inachangia asilimia ngapi ya GDP yenu kwa mwaka na ulinganishe na kilimo,. Kenya is a Agriculture based Economy and shall remain so may be in 30 to 50 years to come. Bank zenu hazijatoa ajira hata kufika wakenya 100K vipi unasema, ukijumlisha service sector yote ya Kenya hiajafika hata 10% ya GDP per year it's contribution to your Economy. Weka data tuone.
Anza na hii.Nilikua ninazungumzia nchi za Afrika kwa ujumla, Je Tanzania tunaweza kusema uchumi wetu ni "Service based" kwasababu Utalii unaingiza pesa nyingi?, au tunaweza kusema ni Explorative kwasababu tunachimba madini mengi?.
Tunaomba data kuonyesha service industry ya Kenya imeajiri wakenya wangapi na inachangia asilimia ngapi ya GDP yenu kwa mwaka na ulinganishe na kilimo,. Kenya is a Agriculture based Economy and shall remain so may be in 30 to 50 years to come. Bank zenu hazijatoa ajira hata kufika wakenya 100K vipi unasema, ukijumlisha service sector yote ya Kenya hiajafika hata 10% ya GDP per year it's contribution to your Economy. Weka data tuone.