Hilo haliwezekani kwani fedha nyingine tunategemea wahisani, wasipotoa basi ndio mwisho wa hadithi. Tatizo nililoona kwa wabunge ni kushangilia, kupongeza, kama vile kila kitu kimeshamalizika. Yale ni makadirio ya mapato na matumizi, sikuona haja ya kushangilia kiasi kile kama vile hizo tril. 31 tayari tulikuwa nazo mkononi!!!Kwani lini bajeti iliwahi kutekelezeka kwa 100%?
Hilo haliwezekani kwani fedha nyingine tunategemea wahisani, wasipotoa basi ndio mwisho wa hadithi. Tatizo nililoona kwa wabunge ni kushangilia, kupongeza, kama vile kila kitu kimeshamalizika. Yale ni makadirio ya mapato na matumizi, sikuona haja ya kushangilia kiasi kile kama vile hizo tril. 31 tayari tulikuwa nazo mkononi!!!
Spika alikuwa kama MC, kuweka vibwagizo.IMF wapo sahihi kabisa. Bajeti ya TZ ni ya kishabiki mno kuliko uhalisia. Ukiona bajeti inapigiwa makofi na wale jamaa waliopitisha mikataba ya madini kwa hati ya dharura na sasa inawarudi kwa aibu kubwa lakini bado hawaoni kosa na wanaendelea kuleta ushabiki wa kitchen party ndani ya Bunge hilohilo, basi jua kwa uhakika kuwa HAKUNA KITU hapo. Isitoshe, bajeti inapopongezwa na Spika mpiga bakora wagombea wenzie kwa kushindwa kutoa hoja zenye mashiko, atawezaje kutoa hoja kwenye kitu kigumu kinachohitaji akili kama Bajeti? Ataishia kusema tu "....kuna haja ya Waziri wa Fedha kuendelea kusoma bajeti hii?" . Kwa akili yake Spika bajeti ilishapita kabla hata ya kusomwa na kujadiliwa Bungeni!!!Sasa haya mambo ya IMF yenye uchambuzi wenye akili za kina Bwana Spika na Wabunge wake wa mipasho wataelewa vipi? Ngoja siku zifike tuisome namba!
utasikia maandamano ya kuuunga mkono badget, siku hizi kila tukio ni maandamano ya kuunga mkonoIMF wapo sahihi kabisa. Bajeti ya TZ ni ya kishabiki mno kuliko uhalisia. Ukiona bajeti inapigiwa makofi na wale jamaa waliopitisha mikataba ya madini kwa hati ya dharura na sasa inawarudi kwa aibu kubwa lakini bado hawaoni kosa na wanaendelea kuleta ushabiki wa kitchen party ndani ya Bunge hilohilo, basi jua kwa uhakika kuwa HAKUNA KITU hapo. Isitoshe, bajeti inapopongezwa na Spika mpiga bakora wagombea wenzie kwa kushindwa kutoa hoja zenye mashiko, atawezaje kutoa hoja kwenye kitu kigumu kinachohitaji akili kama Bajeti? Ataishia kusema tu "....kuna haja ya Waziri wa Fedha kuendelea kusoma bajeti hii?" . Kwa akili yake Spika bajeti ilishapita kabla hata ya kusomwa na kujadiliwa Bungeni!!! Sasa haya mambo ya IMF yenye uchambuzi wenye akili za kina Bwana Spika na Wabunge wake wa mipasho wataelewa vipi? Ngoja siku zifike tuisome namba!
Hahahaha....duh we kibokoHawajaandamana kupongeza bajeti kuongezeka...
Kuandamana kupongeza bajeti iliyotolewaThread imekimbiwa na uvccm. Cjui wamekwenda wap.
Huyo ni nyumbu, kila kitu hupinga. Hilo suala raisi alilielezea vizuri tu.34% ipo wapi hapo?
Leo ni June, angalau ungetoa habari ya May. Mimi naona wewe ndiyo unaetema pumba kama mashine ya kukoboa mpunga.
Kwanza kabisa siyo sifa kutoa hela zote za bajeti. Ukipanga bajeti ya 10,000 kwa matumizi ya siku na ukatumia 6,000 siyo lazima iwe jambo baya. Unaweza kufikia lengo lilelile la 10,000 kwa kutumia 6,000. Mbona GDP inakua at the same rate?
Kwa data zilizopo kulinganisha makadirio na hali halisi mpaka April,
Sasa wewe hiyo 34% ni ya nini? Umeitoa wapi kama siyo porojo?
- Mapato ya jumla 90%
- Mapato ya kodi 92%
- Matumizi ya kawaida -10.38%
- Matumizi ya Maendeleo 57%
Hoshea kwani kuna uongo hapa huu ni ukweli 100% hata wewe wajuaWabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Kweli kabisa mkuuHapo sasa, maana wengi walisema ndiyoooo na wengine kutishiwa eti wakipinga ni sawa na kukataa mgao wa fedha za maendeleo. Mimi nadhani kuwe na mabadiliko ya kimaono, pia kungekuwa na maelezo kwanza ya utekelezwaji wa bajeti tangulizi ili gung'amua changamoto mbalimbali kabla ya kuipanga na kuipitisha bajeti ya awamu mpya. Lakin kwa mfumo huu tutapata shida sana, kabda tu nao hawa IMF wawe wanatuzuga lakin kama ni kweli basi, hali ngumu sana