Hao IMF wanaongoza uchumi katika nchi zaidi ya 100,wanajua kuchambua bajeti kwa uhakika kabisaAliyetafsiri hio habari amekoleza chumvi mnooo. Ukweli hauko hivyo hata kdg
Duu nmeamin tafiti ya Twaweza,.. Kwaio ww kwamba hujui kua budget iliopita imetekelezeka kwa asilimia 15 tu..... Unahisi hawa ni mambumbu kama CCM... Haihitaji miujiza kujua kua serikali ya nchi hii haijawai kuwa na budget ya kweli....... [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] eti kisa Wazungu, au tuwaambie twaweza wa tafitiWabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Usiwe unaandika vitu usivyoelewa. Budget na revenue ni mambo tofauti abisq. Revenue ni sehem tu ya budget. Kuna vyanzo vingine vya budget tofauri na makusanyo. Lakini huo utekelezaji wa asilimia 38 wa budget uliopita umeutoa wapi. Lete namba tufanye hesabuShirika la Fedha Ulimwenguni(IMF) limedai kwamba bajeti ya Tanzania ya Trilioni 31 ni "changa la macho" na kwamba Tanzania haina vyanzo vya fedha kukusanya mapato yanayofikia trilioni 31
Kwa maana hiyo shirika hilo linasema watanzania tumepewa matumaini yaliyopita kuliko cha uwezo wetu!
Binafsi ninaona kuna ukweli asilimia kubwa sana,ukiangalia bajeti ya mwaka 2016/2017 ilitekelezwa kwa asilimia 38,ikashindwa kutekelezwa kwa asilimia 62
Bajeti ya 2016/2017 ilikuwa trilioni 29, lakini pesa iliyotoka ni trilioni 15,bajeti ya mwaka huu 2017/2018 ni trilioni 31,sasa kama ya mwaka 2016/2017 ilitushinda kufikia hata nusu,tulikuwa na vigezo vipi vya kuipandisha bajeti yetu mpaka ifikie trilioni 31?View attachment 531778 View attachment 531779 View attachment 531780
Yaani tulishindwa hata kuikaribia nusu!
Sasa tumeongeza makadirio ya bajeti mpaka trilioni 31 wakati vyanzo vya mapato ni vilevile,na serikali inasema kumekuwa na wimbi la kufunga biashara,makampuni yanapunguza wafanyakazi
Mapato watayakusanya kutoka wapi!???
IMF ndio moja kati ya mashirika makubwa yanayoongoza na kutoa mwelekeo wa uchumi wa dunia,lakini wanakiri kwamba bajeti yetu ni "changa la macho"
Where were you for 20yrs Tundu told you!! They are swindle ring your resources you call him traitor!! Now according to existing contract🙁!!They can do whatever they like to do, the fact remains we what our money back.
Kwani ya Mwaka jana ilikuaje? Naona unajikakamua kuongea ndani ya uzi mgumu kwenu.Wabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
Ataa ikitokea hivyo .majadiliano mpaka pesa zije kulipwa ni Mwaka 2020 awamu imekwisha na sidhani kuna kurudi hapo awamu 2 .na pia sidhani hicho kiasi kitazidi trilioni 3 .Za makinikia zitajazia!!
Na Huyu baba ubaya anavyo penda kikiutasikia maandamano ya kuuunga mkono badget, siku hizi kila tukio ni maandamano ya kuunga mkono
Hoshea .Shindwa na ulegeeWabongo kwa uchawi, hizo tafiti wala hamna uhakika nazo, ila kwa sababu zimetungwa na wazungu na ni habari mbaya kwa utawala, Basi watu roho zimefurahii, maroho ya kishetani.
cc: lizaboniThread imekimbiwa na uvccm. Cjui wamekwenda wap.
Non of our business, hata mkicollect 100 trillion ni za kwenu, it has nothing to do with usKRA collects about 1.2 trillion so the gap is too wide
we unaonaje?Umeelewa hiyo ripoti ya IMF?
Na nimuhimu kukumbuka Bila kusahau tumepakiwa kwenye Lorry sio bus na lorry aina viti wala shockasorber alinepi linadunda tuu.na ataa leseni ya dreva Wa lorry ni class E na dreva bus ni Class C ,(public service vehicle) so dereva Wa lorry ana analojua kuhusu huduma kwa abiria .usisahau neno uumba na limtakalo mtu kinywani ndio lililopo moyoni mwake .maana kuna wanao tetea kakosea tuu kutamka anaendesha lorry .kwa la bajeti mwaka huu wa fedha tuta improve hawezi kuwa sawa mwaka Jana. Let's proceed ivoivo hadi gari litakapozimikia ndio hapohapo tutashuka na vidumu kutafuta sheli.tusiogope safari